mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Maneno kuntu haya!Unaemtaka humpati na utampata wapi/anaekutaka haumtaki na humpi nafasi..
Anasema.
Hii nimeipenda sana huyu jamaa ni fundi sana...
Unamwita queen na una passion ya kumwona/
Simu yake ina maPin na maPassword kila kona/
Na majina ka kadabrq kumbe ibrah yaani roma/
Na aliyemsave kama baba na ana jiba naye kinoma.
Walafi wanamla hadi Tigo hahahahahaUnamuita darling.wife au mama mamito/unapata habari za wanafiki kuna warafi wanamla hadi *****
Hahahaha hatari lakini salamaHatari sana huyu Fid yani ni hatari ni bora tuwaambie watu wa usalama kuwa huyu mtu ni hatari