[Verse 1: Fid Q]
Hawamaanishi wanacho sema (lakini),huongea ya maana,
Madishi ninayo tema yakipotea ujue unalaana,
Wana drama ukikwama lawama bwana akikukana inauma sana,
Unanichanganya kutamaniana ujana na maana ya kupendana,
(mapenzi)Sio mashindano flani na flani wakomo ubishi,
Ni makubaliano ndani ya ki-moyo honey umridhishe,
Kuyaanza ni vigumu,kutengana ni rahisi,kuyafanya ya dumu,
inapaswa wakaanga sumu wote wa-tight,
Unamuita Queen na unapassion ya kumuona,
Simu yake ina pin na ma-password kila kona,
Na majina kama kadabra,kumbe ni Ibra yani Roma,
Na aliemsave kama baba,Ndio ulie jiba nae kinoma,
Ukienda kasi utaona life iko fast,
Kiasi Kwamba ata your first lover awezi kuwa your last,
Unamuona mrupo kisa ulimgonga kwa mshiko,
Anakuomba madusko anahonga batonga anagonga vitu,
Unamuita darling au wife mama mamito,
Unapata habari za wanafiki kuna walafi wanamla hadi jicho,
Unaemtaka haumpati utampata wapi,
Anaekutaka hautaki haumpi nafasi,
Akikuteka ukijiweka haukohoi,
Utakesha tu unacheka ushatekwa home boy,
Weka yeye atoe,asie enzi na usimboe,
Wengi wanayajua mapenzi lakini wachache wana ya enjoy,
Sent using
Jamii Forums mobile app