Huyu fundi simu anakagua simu za wateja akimaliza kutengeneza

Huyu fundi simu anakagua simu za wateja akimaliza kutengeneza

Jumlisha

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1,239
Reaction score
2,765
Habarin wa JF natumaini mko powah kabisa

Huyu fundi simu amenishangaza sana mpaka nimeona nilete uzi huu kwa wale wahanga wa simu mbovu mnao shinda kwa mafundi iko hivi mimi nina jamaa yangu fundi simu wa hapa town maeneo flani hivi sasa huwa nakuja hapa mara kwa mara kupiga story na mambo mengine.

Nimekaa hapa kama dk 30 hivi akaja mama mtu mzima age 38+ kaleta simu yake imezima haipeleki chaji sasa fundi akamwambia basi ngoja niishughulikie baada ya nusu saa uje uchukue ukiangalia ofisi yenyewe sehemu ya kukaa mteja aseme asubiri hamna so lazima aende arudi basi kama baada ya dk 10 iv simu ikawaka fresh ndio jamaa kunishtua oyah plus njoo uone vitu hivi dah jamaa akaanza kunionesha video za utupu ambazo kazikuta kwenye trash ya google photo, watu wengi watumiaji wa simu wanafutaga video kwa mazoea kumbe video zinaeenda trash na kule zinajifuta baada ya siku 60 kwa google photo kama sijakosea.

Baada ya kunionesha video na picha jamaa yangu akahamia kusoma message aisee hapa nikabaki hoi sasa jamaa mpaka message nikawaza na mimi simu yangu ikiharibika itakuaje na sina tabia ya kufuta message kabisa na kwa huyu jamaa yangu inaonekana ni tabia yake maana kanisimulia mambo aliyoyaona kwenye simu ya mzee fulani ninae mfahamu aliyeenda kurekebishiwa simu yake.

Niwashauri tu kama unatengeneza simu simamia simu yako ikamilike, hizo tabia za kumuamini fundi itawagharimu, fundi haaminiki.

Ikiwezekana simu ikiharibika weka ndani nunua simu nyingine
 
Curiousity ipo programmed kwenye akili ya mtu automatically. Kuna demu mmoja alikuwa anasoma SAUTI alipataga hitilafu ya PC yake basi akaipeleka kwa mafundi. Kwa bahati mbaya, kulikuwa na picha video zake za utupu kwenye moja ya mafaili yake.

Saa ngapi yule fundi asi-hold kama dhamana. Yaani yule dada alipie hela zaidi ili fundi asisambaze zile picha na video zake. 😌
 
Curiousity ipo programmed kwenye akili ya mtu automatically. Kuna demu mmoja alikuwa anasoma SAUTI alipataga hitilafu ya PC yake basi akaipeleka kwa mafundi. Kwa bahati mbaya, kulikuwa na picha video zake za utupu kwenye moja ya mafaili yake. Saa ngapi yule fundi asi-hold kama dhamana. Yaani yule dada alipie hela zaidi ili fundi asisambaze zile picha na video zake. 😌
Hii sio sawa kabisa kuingilia faragha ya mtu sio sawa
 
Curiousity ipo programmed kwenye akili ya mtu automatically. Kuna demu mmoja alikuwa anasoma SAUTI alipataga hitilafu ya PC yake basi akaipeleka kwa mafundi. Kwa bahati mbaya, kulikuwa na picha video zake za utupu kwenye moja ya mafaili yake. Saa ngapi yule fundi asi-hold kama dhamana. Yaani yule dada alipie hela zaidi ili fundi asisambaze zile picha na video zake. 😌
🤣🤣🤣 Huyo fundi mwehu sana..!!
Hajapigia nyeto kwanza??
 
Hivi unaanzaje kuhifadhi vitu vya ajabu kwenye simu? Wenzetu huo ujasiri mnautoa wapi?!! Sio fundi tu, hata ikitokea umeumwa mama yako anashika simu yako anakuta vitu vya ajabu utajisikiaje?

Kuna tabia zingine za hovyo watu waache, ndio hiyo unajikuta umechafua hali ya hewa.
 
Curiousity ipo programmed kwenye akili ya mtu automatically. Kuna demu mmoja alikuwa anasoma SAUTI alipataga hitilafu ya PC yake basi akaipeleka kwa mafundi. Kwa bahati mbaya, kulikuwa na picha video zake za utupu kwenye moja ya mafaili yake. Saa ngapi yule fundi asi-hold kama dhamana. Yaani yule dada alipie hela zaidi ili fundi asisambaze zile picha na video zake. 😌
angeenda kushtaki
 
Hata iweje, si vizuri kushea picha za faragha za mtu! Cha msingi ni kuwa makini nani anapata access ya vitu personal. Basi!
Kwa wadangaji sawa wako kibiashara, anamsaidia kutafuta wateja. Si ni kazi yao.

Mtu mwenye akili zako timamu unaanzaje kutuma picha za hovyo kwa mtu ambaye hujui atazifanyia nini?

Muhimu ni kulinda utu wako na kuacha kushea picha au video mbaya.
 
Back
Top Bottom