Huyu fundi wa hizi sarakasi ni nani?

Hawakujitokeza
πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ Ile ndiyo ambayo huko nyuma mlilia sana kupata mkono wa chuma na ndiyo ilikuwa ile hasaπŸ˜ƒ!.

Bahati mbaya wengi walitaka mkono wa chuma na udongo kitu ambacho hakiwezekani maana hata maandiko yanasema udogo na chuma haviwezi kutangamana.
 
Naona kwako ni shangwe tupu hongera sana.. Ni kweli tulitaka hivyo lakini si kupitia chama unachoshabikia

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Linganisha convoy la Tz limejaa kijani na hawesemi watarudi lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…