Huyu producer wa Godfather kashagundua kuwa watanzania wana shobo sana na sio creativity a.k.a ubunifu ndo unawapeleka South Africa. videos ziko kwenye quality ya kimataifa ndio hilo halina ubishi na wasanii wetu wamesogea hatua mbele.
Swali ni kwanini video hazilingani na kinachoimbwa? Mfano 'Mwana' ya Ali Kiba ni kuhusu kijana wa kike au kiume ambaye ameharibikiwa baada ya kuja mjini. Basi wangetoka nje ya hizo studio na waende nje Soweto or wachukue vipande vya uswahilini jamaa afanye utundu kutokana na msg ya nyimbo.
Sasa Ali kaimba mwanzo mwisho akiwa studio Dance moves ziko poa kila kitu on point but Kutokana na makosa yaliopita nilitegemea Kuona msg ikioneshwa kwa video. Huyu mtu ananalipwa pesa nyingi sio mbaya kumwambia nini unataka kama msanii na kufanya research ya locations na theme before kushoot video.
Naomba iwe clear, am not team A or B, am a music fan!
Swali ni kwanini video hazilingani na kinachoimbwa? Mfano 'Mwana' ya Ali Kiba ni kuhusu kijana wa kike au kiume ambaye ameharibikiwa baada ya kuja mjini. Basi wangetoka nje ya hizo studio na waende nje Soweto or wachukue vipande vya uswahilini jamaa afanye utundu kutokana na msg ya nyimbo.
Sasa Ali kaimba mwanzo mwisho akiwa studio Dance moves ziko poa kila kitu on point but Kutokana na makosa yaliopita nilitegemea Kuona msg ikioneshwa kwa video. Huyu mtu ananalipwa pesa nyingi sio mbaya kumwambia nini unataka kama msanii na kufanya research ya locations na theme before kushoot video.
Naomba iwe clear, am not team A or B, am a music fan!