huyu hana mpinzani,Mungu amlaze mahali pema peponi.AMeen

....huwezi ukamplease kila mmoja,ila wengi watakubali you touched lives of soo many..RIP
 

mkuu maneno yako ni makubwa na yenye hekima. Naomba niyaprint ili nipitie moja baada ya jingne. Unafaa kuwa mshauri wa JF.
 

Kwa fikra zako finyu ulitaka niseme au nione utakavyo wewe? La hasha!

Unajuwa kuwa huna la kujibu katika madhila tuliyoukuwa nayo wakati wa Nyerere, na kama hukuyaona au kuyahisi basi utakuwa ulikuwa ni mmoja wa watelezaji wake au ulikuwa ni mwanjo mwanjo ambae hakuona kitu ila hicho kilicho machoni mwake, kama kipofu aliyeona Punda!

Au ulikuwa mmoja kati ya wale waliopandikwa kwenye vi-flat vya msajili walivyodhulumiwa wamiliki wa halali?

Laiti ungalikuwa mwenye muono pevu, wakati huo, kwenye list ya hao uliowataja sijui kama unawajua wangapi kati yao waliedhulumiwa na Nyerere au kuikimbia nchi wakati wa Nyerere au walikuwa washirika na magawadi wa Nyerere ka ulivyo wewe.

Ukiwekewa list ya ukweli ya waliofanyiwa madhila wakati wa Nyerere sidhani kati yao kama utathubutu kusema aahh, hawa hapana.

Usitake kutukumbusha dhiki na dhima tuliyoionja wakati wake, na kama hujaionja basi u kama nilivyokuelezea hapo juu.

Nitajie jema moja ulijuwalo wewe aliyelileta Nyerere hapa Tanzania au Tanganyika.
 

Umemaliza mkuu.Wenye akili wamekuelewa.Haina haja ya kupoteza muda na nguvu zako kujibizana na mpumbavu.Be blessed!
 
Umemaliza mkuu.Wenye akili wamekuelewa.Haina haja ya kupoteza muda na nguvu zako kujibizana na mpumbavu.Be blessed!

Mpumbavu tena wa kutupa ni wewe unayekubali na kusherehekea unayoyasikia bila kuwepo. Ungalikuwa umewahi kupanga foleni ya Unga wa Ugali, tena wa njano, ambao kwa sasa hata ukipewa bure huutaki, usingethubutu kutukana wenzako. Pumbavu mkubwa wee!
 
Mpumbavu tena wa kutupa ni wewe unayekubali na kusherehekea unayoyasikia bila kuwepo. Ungalikuwa umewahi kupanga foleni ya Unga wa Ugali, tena wa njano, ambao kwa sasa hata ukipewa bure huutaki, usingethubutu kutukana wenzako. Pumbavu mkubwa wee!

we mbwegembwege vipi una pele nini linakuwasha huko nyuma?wapi nilipokutaja kuwa weye ndiye mpumbavu?acha kushobokea wanaume.
 
Mi nadhani alale jehanamu na achomwe Sanaa na moto maaana hay mauzauza ya ccm eye ndo ameleta

MMMMMMMMMhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh. Mungu atusamehe.

Ni watu wachache sana wanaoweza kufika hata nusu yake kwa sasa. Kushinda tamaa na ubinasfi kazi sana lakini alijitahidi.
Alikiri kwamba kuna sehemu amekosea na tuache makosa yake, tuchukue mazuri.

Tuwe na shukrani jamani.
 
we mbwegembwege vipi una pele nini linakuwasha huko nyuma?wapi nilipokutaja kuwa weye ndiye mpumbavu?acha kushobokea wanaume.

Kuna mwanammme akaongea hayo unayoongea wewe? Ni mashoga tu wenye lugha kama yako. Naona wew ndie unawashwa, swine.
 
Kuna mwanammme akaongea hayo unayoongea wewe? Ni mashoga tu wenye lugha kama yako. Naona wew ndie unawashwa, swine.

yeah sasa punga litajuaje lugha za majeda?ndiyo mana nakwambia tena,usiniletee ngede zako.Kama mimavi inakuwasha,tafuta mtu hapo jirani kwenu akupakue
 
Umemaliza mkuu.Wenye akili wamekuelewa.Haina haja ya kupoteza muda na nguvu zako kujibizana na mpumbavu.Be blessed!

The Following User Says Thank You to p53 For This Useful Post:

3D. (Today)
 

Nia yangu ilikuwa ujumbe ufike. Ujumbe umefika. Asante kwa kunielewa na pole kwa kuogopa kukiri hadharani. Gloria in excelsis Deo!!
 
hana mpinzani ,,,,,,,,,,,wanaobisha hawana hata nafasi ya ya kumchalenge.................hivi katika uongozi.... nani anamzidi kwa kufufua uchumi/kuujenga nchi ilikua haina hata chuo kilichokupa we elimu kumuona hafai,............hakuna techinologia lakini tuna madini angeuza enzi hizo kama hawa walivyofanya ungekuta unavua vyura kule mwadui,geita na nzega,,,,,,,.............subiri baada ya miaka kadhaaa wajukuu au watoto wetu watashuhudia mashimo /mabwawa itakua nchi ya utallii watu watakuja kutalii mahali zilipokuwa dhahabu na alimas
 

Siku si nyingi hutaweza kuongea upupu kama huu. Umelewa vijipesa vya walafi ndani ya CCM, na unafikiri unaweza kutukana unavyotaka.
Amini nakwambia, ukombozi u karibu, na hutakaa uamini maana umejawa kiburi cha madaraka na kujuana.
 
Siku si nyingi hutaweza kuongea upupu kama huu. Umelewa vijipesa vya walafi ndani ya CCM, na unafikiri unaweza kutukana unavyotaka.
Amini nakwambia, ukombozi u karibu, na hutakaa uamini maana umejawa kiburi cha madaraka na kujuana.
Kama huna hoja, kaa kimya, si lazima uijibu kila post.
 

Wewe unaujuwa uchumi ulivyokuwa wakati wa Nyerere au unajisemea tu?
 
Nia yangu ilikuwa ujumbe ufike. Ujumbe umefika. Asante kwa kunielewa na pole kwa kuogopa kukiri hadharani. Gloria in excelsis Deo!!

Kuna ujumbe kutoka kwako au upupu?
 
Ikiwa watu hawahawa wanaomuona Mbowe ni kiongozi ilhali hana kabisa maadili kwa kuendesha danguro la kujiuza wanawake kwa wanaume na wakamuona Slaa kiongozi ingawa anakwapuwa mke wa mtu, nina uhakika ni haohao wanao muona Nyerere wa maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…