Huyu hapa akipasha na 'wananchi' aka Yanga!

Ameshindwa kucheza League kubwa ambazo kila mchezaj wa africa anataman kwenda kaja Yanga.

[HASHTAG]#galasa[/HASHTAG]
 
Yaani mchezaji wa kameruni anakuja kucheza mpira wa "kulipwa" Tz??
Nacheka kwa dharaaaaaaaauuuuuu kama mzee majuto!
Kheee kheeee kheeeeeeee!
Wanaocheza Timu yao ya Taifa wanacheza vitimu vidogo Ulaya..itakuwa huyu
 
Yaani mchezaji wa kameruni anakuja kucheza mpira wa "kulipwa" Tz??
Nacheka kwa dharaaaaaaaauuuuuu kama mzee majuto!
Kheee kheeee kheeeeeeee!
Wanaocheza Timu yao ya Taifa wanacheza vitimu vidogo Ulaya..itakuwa huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…