Tetesi: Huyu hapa kocha mpya wa Simba SC

Tetesi: Huyu hapa kocha mpya wa Simba SC

Hichilema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
1,608
Reaction score
1,687
Niko hapa kuthibitisha kuwa Fadlu Davids ni kocha mpya ajaye Simba SC Raia huyo wa Afrika Kusini ni kocha msaidizi wa Raja Casablanca

1000074068.jpg
 
Mgunda na mwenzake Matola wamegeuzwa kuwa spare tyres. Yaani kila msimu unapoanza, wanaajiri kocha mpya! Halafu kabla ya huo msimu kumalizika, wanamtimua huyo kocha na timu kukabidhiwa kwa Mgunda na Matola.

Kwa hali hii Yanga ataendelea kiwa Bingwa kwa miaka mingi sana.
Unapenda Mgunda awe kocha ili Simba ifanye vizuri kuliko timu yako ya Yanga?😳
 
Mgunda na mwenzake Matola wamegeuzwa kuwa spare tyres. Yaani kila msimu unapoanza, wanaajiri kocha mpya! Halafu kabla ya huo msimu kumalizika, wanamtimua huyo kocha na timu kukabidhiwa kwa Mgunda na Matola.

Kwa hali hii Yanga ataendelea kiwa Bingwa kwa miaka mingi sana.
Mgunda ana kazi yake...kocha wa timu ya wanawake acheni upopoma...
 
Mgunda ana kazi yake...kocha wa timu ya wanawake acheni upopoma...
Kwa kauli hii, ni ushahidi tosha Yanga ni Bingwa tena msimu ujao.

Maana kuna mashabiki wenzako wanaamini Mgunda ana sifa ya kukabidhiwa timu na kuifikisha katika kilele cha mafanikio. Ila nyinyi mnamgeuza kuwa spare tyre!
 
Kwa kauli hii, ni ushahidi tosha Yanga ni Bingwa tena msimu ujao.

Maana kuna mashabiki wenzako wanaamini Mgunda ana sifa ya kukabidhiwa timu na kuifikisha katika kilele cha mafanikio. Ila nyinyi mnamgeuza kuwa spare tyre!
Spare tyre kitu gani ww mzee? Yani ashindwe kuitumikia club yake kisa mtamuita spare? Yy ni kocha mkuu wa Simba Queens...
 
Huyu coach ni hatari asee, naskia ukozingua anaingia yeye kukiwasha.
 

Attachments

  • IMG-20240711-WA0046.jpg
    IMG-20240711-WA0046.jpg
    167.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom