huyu dogo angebana tu pua, hii style za hphp kwa mtazamo wangu haziwezi! awaachie akina jcb, fid q, roma na wengine!
Acha ushamba wewe,kwa mfano leo hii utuambie SOULJA BOY anafanya hphop haiwez,amuachie JAY Z.!???
Blue hafany hiphop,anafanya Rap ya kipekeyake..
Ndo maana mleta mada kasema "MUANZILISHI WA SWAGG FLOW".!!
Ebu chukua sauti ya FIDQ iweke kwenye wimbo wa Tabasamu uone kama ungenoga..
Acha ushamba wewe,kwa mfano leo hii utuambie SOULJA BOY anafanya hphop haiwez,amuachie JAY Z.!???
Blue hafany hiphop,anafanya Rap ya kipekeyake..
Ndo maana mleta mada kasema "MUANZILISHI WA SWAGG FLOW".!!
Ebu chukua sauti ya FIDQ iweke kwenye wimbo wa Tabasamu uone kama ungenoga..
Mini tofauti ya Rap na Hip hop?
Najua wimbo utakua mkaleer blue hakoseagii banaaa
come again? kwamba blue anafanya mziki wa peke yake? kwenye category unaitwaje?