Huyu hapa mrembo mpya wa msanii Diamond Platinumz

Huyu hapa mrembo mpya wa msanii Diamond Platinumz

eastmea

Senior Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
159
Reaction score
133
Mrembo kutoka Rwanda anayejulikana kwa jina la shaddyboo ambaye anajihusisha na mambo ya urembo pia ni video vixen ndiye mrembo mpya wa msanii diamond ambaye anaziba pengo la wazazi wenzie na diamond (hamissa na zari)
Weka comment yako kumtakia mahusiano mema simba
Je unahisi ataweza kumtuliza diamond?? Au nayeye ataishia kuroga ili kumtuliza diamond
IMG_20180917_125027.jpg
IMG_20180917_125004.jpg
IMG_20180917_124939.jpg
IMG_20180917_124900_323.jpg
IMG_20180917_124823_431.jpg
IMG_20180917_124733_552.jpg
 
Viungo vyenyewe wamepewa bure, havina kodi ya nini kunyimana!!? Waendelee kuchunguliana kwa bidii zote, tunaishi mara moja tu!!
 
Sijui kwanini wabongo wanamtukana huyu binti, wanalitaka rungu la chibu???!!!
 
Back
Top Bottom