Huyu hapa mrembo mpya wa msanii Diamond Platinumz

Ukiwa na hela halafu maarufu, wala hutumii nguvu nyingi kupata vipapatio. Kipindi cha baridi kwako ni mtelezo tu.
Tatizo linakuja kwetu makapuku, kipindi cha baridi misuli imesimama halafu unahitaji mubebe aje utaambiwa kwanza tuma nauli. Ukituma unaambiwa mama amemzuia kutoka.
Hapo ndipo unapowaza kuchukua fomu CHAWAPUTA.
 
Hawa sio binadamu ni viumbe ambao tayari wanaendeshwa na scubuss, poleni mnaowafuatilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…