Mbona yupo Dar?wenzio wapo bagamoyo for honeymoon we endelea kuota tu
Kwa pikipiki au kwa mkokoteni.Naona kik sijui..
Mkokoteni itakuaKwa pikipiki au kwa mkokoteni.
Kukulana ni sifa mojawapo pambanuzi ya mtu mweusi popote hapa duniani !!!Ni kwa sababu gani? Au kwa vile viwonder vimetushinda tunawekeza akili, nguvu na muda kwenye kukulana? Nawaza tu
Sana sana ndio maana tumo humu na wewe Mtanzania mwenzetuTanzania. Ndo nchi inayoongoza kwa wananchi wake kupenda kujua Mambo ya wenzao kuliko yao.
Milage yake ni ngapi?Kwani inawezekana kafikisha idadi ya wanaume inayofaa kuitwa used huyo bado mpya imetumika kidogo tu
Inatakiwa itumiwe na walau wawe 1994 hivi hiyo unaweza sema inakaribia kuwa used sawa mkuuMilage yake ni ngapi?
HahahahaMkokoteni itakua
Wengine hawakulani?Kukulana ni sifa mojawapo pambanuzi ya mtu mweusi popote hapa duniani !!!
Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
kaka mbona umecoment kama unapovu hivi la kuchukuliwa nafas yako hahahaahahNilijua tu ile ya Dogo Janja ilikuwa Kiki tu..
Gari used imekwenda km ngapi??Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!
Huyo jamaa kama anahela ameshindwa kupata demu shombeshombe wa kinyarwanda mpk kuchukua kitu used!