Huyu Jamaa amenikuna Sana Na Huu Usemi

Huyu Jamaa amenikuna Sana Na Huu Usemi

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,619
Reaction score
4,299
Mbuzi ni mbuzi! Hawezi kuwa Simba! By 20%!
20P.jpg
 
Kakukuna sehem gani mkubwa....
 
ndo maana yake yani huyu bwana mdogo anashuka verse kinomanoma
 
Siyo lazima woote tuimbe,waweza piga marimba utasikika pia!
 
Hamna msanii ninaemkubali hapa zaidi ya huyu dogo.. He's a lyricist :majani7:
 
wasanii wengi naogopa kuwasifu kwan unaweza hona aibu baadae.lakini twenty pa asilimaile ni noma.namkubari.
 
kusema huwezi iweje u force kuimba , we piga gitaa utasikika pia - 20 pah!
 
Tunaoneana noma police kupelekana-
aluatani 20 pah.
 
na bado mtazidi kumkubali mana ndo kwanza yuko 20% cpati picha akifika 40%
 
Back
Top Bottom