Huyu jamaa ana hoja asikilizwe

Huyu jamaa ana hoja asikilizwe

Mkumbusheni kuwa kuna Hayati na Marehemu. Na baada ya hap wote kuondoka kuna wengine wake zao wanapokea mafao. Jua kutofautisha rangi nyeusi na masizi ya mkaa. Tui na maziwa.
 
Mkumbusheni kuwa kuna Hayati na Marehemu. Na baada ya hap wote kuondoka kuna wengine wake zao wanapokea mafao. Jua kutofautisha rangi nyeusi na masizi ya mkaa. Tui na maziwa.
tui na maziwa kipi zaidi hapo.


nusu mlingoti ama robo mlingoti haisaidii chochote
 
Huyu jamaa ana clip nyingi tu anaongea kama mlevi lakini anashusha nondo za kujengea ghorofa
 
Back
Top Bottom