Huyu jamaa anaitwa Saheed Adebayo Akinfenwa raia wa England kwasasa anakipiga katika klabu ya Wycombe Wanderers inayoshiriki ligi daraja la kwanza Uingereza akicheza Kama striker
Kwasasa anamiaka 39 na alianza kucheza soka la kulipwa mwaka 2000 katika klabu ya Fk Atlantas ya Lithuania
Amepita kwenye Vilabu vingi tu Kama Swansea,
Afc Wimbledon,
Leyton Orient,
Gillingham,
Barry town,
Doncaster Rovers,
Torkuay Utd,
Northampton (najua wazee wa kubeti mnazijua hizi timu[emoji3][emoji3])
Msimu wa 2015/2016 akiwa Afc Wimbledon aliisaidia timu hiyo kuchukua ubingwa wa English league 2 ambapo ubingwa huo uliiwezesha timu hiyo kupanda daraja kutoka English League 2 to English league 1
Kitu kinachomtofautisha na wachezaji wengine ni ubonge alionao Yani hata
Adama Traore haon ndani [emoji3]
Huyu jamaa ndo mchezaji mwenye kilo nyingi kuliko wote duniani kwasasa
Ana 102 kg na urefu wa futi 6 na inch 1
Hata ukiwa mzito ilimradi uwe unajua tu.
Kwasasa anamiaka 39 na alianza kucheza soka la kulipwa mwaka 2000 katika klabu ya Fk Atlantas ya Lithuania
Amepita kwenye Vilabu vingi tu Kama Swansea,
Afc Wimbledon,
Leyton Orient,
Gillingham,
Barry town,
Doncaster Rovers,
Torkuay Utd,
Northampton (najua wazee wa kubeti mnazijua hizi timu[emoji3][emoji3])
Msimu wa 2015/2016 akiwa Afc Wimbledon aliisaidia timu hiyo kuchukua ubingwa wa English league 2 ambapo ubingwa huo uliiwezesha timu hiyo kupanda daraja kutoka English League 2 to English league 1
Kitu kinachomtofautisha na wachezaji wengine ni ubonge alionao Yani hata
Adama Traore haon ndani [emoji3]
Huyu jamaa ndo mchezaji mwenye kilo nyingi kuliko wote duniani kwasasa
Ana 102 kg na urefu wa futi 6 na inch 1
Hata ukiwa mzito ilimradi uwe unajua tu.