Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Simulizi yako ina utata, ndio kwenye uislam mtu anaweza kumuwakilisha nduguye kwenye kufunga nikah, lakini kwa dunia hii yetu ya leo, basi hata picha ya huyo unayetaka kumua huna?Niliulizwa hili swali nikakosa jibu naomba nanyi munisaidie. Kuna jamaa yuko Jo'burg akamuagiza mdogo wake amuolee mke na nduguye akamuolea,huyu jamaa akaamua kurudi Mafia kiss one(kisiwani) ili akamchukue mkewe na kwenda naye South,jamaa alipofika DIA akamuona msichana mrembo akamtongoza na wakaenda kuvunja amri ya 6 walipomaliza wakaagana na kila m2 kutimukia kwake, jamaa alipofika nyumbani ili amuone mke wake mwenyewe ,akamkuta yule msichana ndiye mke wake mwenyewe ambaye wamemùolea. Ktk dini ya kiislamu/kikristo. Je? Huyu jamaa kazini au kamuingilia mkewe.
Ndugu inawezekana picha katumiwa lkn siku hiyo anaweza kujibadilisha na usimjue hata jina ukimuuliza anaweza akakudanganya. Je? Alizini au alimuingilia mkewe.Simulizi yako ina utata, ndio kwenye uislam mtu anaweza kumuwakilisha nduguye kwenye kufunga nikah, lakini kwa dunia hii yetu ya leo, basi hata picha ya huyo unayetaka kumua huna?
Yaani imepelekwa posa kwa mwanamke ambaye hata wajihi wake uhujui? Ajabu.
Umeona eh!Wanandoa wamezini pamoja..kaazi kweli kweli!
Wamezini,nashukuru kwa majibu yakeAmezini,kumuingilia ni kama haikuwa ridhaa ya huyo mwanamke....lakini kwa ulivyoeleza ni kuwa walizini!
Waandikie Alhidaaya, nadhani wao ni watu wenye uelewa mkubwa sana, kuliko humu JF, au wewe unaonaje?Ndugu inawezekana picha katumiwa lkn siku hiyo anaweza kujibadilisha na usimjue hata jina ukimuuliza anaweza akakudanganya. Je? Alizini au alimuingilia mkewe.
Hakuna cha kutunga sie waislamu tunaruhusiwa kufanya hivyohii ya kuolea ndugu nayo mpya kwangu,mie kidogo nidhani hii story umeitunga!
Niliulizwa hili swali nikakosa jibu naomba nanyi munisaidie. Kuna jamaa yuko Jo'burg akamuagiza mdogo wake amuolee mke na nduguye akamuolea,huyu jamaa akaamua kurudi Mafia kiss one(kisiwani) ili akamchukue mkewe na kwenda naye South,jamaa alipofika DIA akamuona msichana mrembo akamtongoza na wakaenda kuvunja amri ya 6 walipomaliza wakaagana na kila m2 kutimukia kwake, jamaa alipofika nyumbani ili amuone mke wake mwenyewe ,akamkuta yule msichana ndiye mke wake mwenyewe ambaye wamemùolea. Ktk dini ya kiislamu/kikristo. Je? Huyu jamaa kazini au kamuingilia mkewe.