Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SamiaHivi na Kiballi cha kuiba fedha za Umma huwa kinatolewa na nani?
Upigaji kwenye Reli ya SGR na kwenye Vichwa na Mabehewa Kibali chake ni ilani ya CCM?
Stupid questionHivi na Kiballi cha kuiba fedha za Umma huwa kinatolewa na nani?
Upigaji kwenye Reli ya SGR na kwenye Vichwa na Mabehewa Kibali chake ni ilani ya CCM?
Katoe Sadaka ya Shukurani kwa Mungu wako….Mimi iko siku nimetoka Sitalike naelekea Sumbawanga nilipokuwa katikati kabla ya kufika Kibaoni nikasimama ili nikojoe nikamuona Nungunungu kaliwa kabakizwa Miba tu nikachukua ile Miba kama mitatu hivi nikawa naishangaa
Kumbe ningekamatwa ningefungwa miaka mingi kuliko hao waliotajwa kwenye ripoti ya CAG?
Shukuru Samia ni rais wakati huu, la sivyo ungeishi kama huyo zimwi kwenye avatar yako.Samia
Ni kweli kabisa hata mimi nampongeza kwa kazi kubwa ya kunya kwa bidii anayo fanyaShukuru Samia ni rais wakati huu, la sivyo ungeishi kama huyo zimwi kwenye avatar yako.