Huyu Jamaa sijui alirudi ?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
New York City, 1941;

Askari akimuaga mwenza wake kwa mara ya mwisho muda mfupi kabla ya kwenda kupigana vita ya pili ya dunia mara baada ya likizo yake kukatishwa ghafla kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na Japan katika kambi ya kijeshi ya Marekani huko Pearl Harbour.

Inasikitisha sana,sijui huyu mzalendo alirudi salama na alimkuta huyo mpenzi wake?au alifia vitani.

Na huyo jamaa aliyembeba nae sijui alikuwa anabaki au nae alikuwa yupo safarini?

Vita sio nzuri.
 
Dah..
Mwanaume mjeshi hapana
 
Uyo mjeshi hakurudi alifia vitani,mwamba aliyembeba manzi ndo alimiliki mzigo.
kama alivyoubeba mzigo hapo kwenye picha aliendelea kubeba moja kwa moja mpaka baada ya vita kuisha.
 
Uyo mjeshi hakurudi alifia vitani,mwamba aliyembeba manzi ndo alimiliki mzigo.
kama alivyoubeba mzigo hapo kwenye picha aliendelea kubeba moja kwa moja mpaka baada ya vita kuisha.
[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…