busu hulioni hilo kwamba linasema "raha ya milele ............😊😊😊[emoji3][emoji3] kwanini?
"Roho yako ni ya Mungu, makalio yako ni ya jeshi" said hatman!Ukitaka kazi ya jeshi don't forget hakuna kukupeti peti
Watanzania Wape Picha tu [emoji1787]Uyo mjeshi hakurudi alifia vitani,mwamba aliyembeba manzi ndo alimiliki mzigo.
kama alivyoubeba mzigo hapo kwenye picha aliendelea kubeba moja kwa moja mpaka baada ya vita kuisha.
Alimaanisha nini?"Roho yako ni ya Mungu, makalio yako ni ya jeshi" said hatman!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ni misemo tu ya kijeshi ikimaanisha ukiwa askari huna mamlaka na mwili wako, jeshi ndiyo linamamlaka nao!Alimaanisha nini?