Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
OK mkuuNi misemo tu ya kijeshi ikimaanisha ukiwa askari huna mamlaka na mwili wako, jeshi ndiyo linamamlaka nao!
Don't take it seriously..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Daaaaa namkumbuka Huyo mchizi alichapwa risasi ya Tako na nyang'au Moja la kijapani,
Kwa kumbu kumbu zangu ilikua blood Monday majeshi ya kijapan yalikuja Kasi Sana Siku Hiyo Ndio bahati mbaya mwamba akalambwa risasi na alilia jicho Moja kama Sabaya Siku ya msiba wa Jiwe huko akitaja
Jina la huyo manzi
Hiiiiii yaaaaaaaa,uwiiiiiii mchumba Wangu Monica ndio namwacha Hivi Hivi yaaaaaa Yesu weeeeeee
Monica,Monica Monica my love I leave you alone darling wooooiiiiiiiiiii
Ila mchizi hakufa alikaaa Sana Hawiii kama miaka mitatu Hivi
Aliporudi alikuta demu ana watoto wawili ya mwamba fulani msambaza magazeti na wakahamia zao Michigan
Hiiiiii bha goshaaaaa mmenikumbiusha mbali Sana wajukuuu zangu!
Hii kauli inauma hii,halafu ukute anakuonyesha vipicha kutoka kwenye wallet,ila wazungu naona kama huwa wanaelewa na kuwaachia,ila kamatwa na hawa wa huku kwetu kina M23 au alishababu uwaambie hivyo uone[emoji3]dont kill me..
i have wife & kid..
alshabab wale ni balaa bora hata risasi wao wanachinja kama kukuHii kauli inauma hii,halafu ukute anakuonyesha vipicha kutoka kwenye wallet,ila wazungu naona kama huwa wanaelewa na kuwaachia,ila kamatwa na hawa wa huku kwetu kina M23 au alishababu uwaambie hivyo uone[emoji3]
Akikumbuka yeye hata Huyo mtoto hana anakuwahisha fasta
alikuwa ndio amepata mtoto hana hata wiki akachelewa siku moja kesho yake amefika dar katibu mkuu wa chama akamwambia aendelee na majukumu mengine.Aisee kwanini alizuiwa?
[emoji115]
Uyo mjeshi hakurudi alifia vitani,mwamba aliyembeba manzi ndo alimiliki mzigo.
kama alivyoubeba mzigo hapo kwenye picha aliendelea kubeba moja kwa moja mpaka baada ya vita kuisha.
Nyie jamaa ni waongo kinyama , Kwa life expectancy ya binadamu huenda kweli ashakufa mana hata veteran waliosalimika ww2 na walio hai sasa karbia wote wapo kwenye 90+ age , na Wana perish in alarming rate ... Swala la kwamba alifia vitani tafuteni jina lake , mtajua na sio kusema hakurudi Kwa hsia tuu.... Fiercely battle between Japanese and US kat ya 1941-1943 ilikuwa upande wa NAVY and Airforce, kuanzia 1943-1945 ilihamia upande ground , kama huyo jamaa ni marine force kuna viashiria alirudDaaaaa namkumbuka Huyo mchizi alichapwa risasi ya Tako na nyang'au Moja la kijapani,
Kwa kumbu kumbu zangu ilikua blood Monday majeshi ya kijapan yalikuja Kasi Sana Siku Hiyo Ndio bahati mbaya mwamba akalambwa risasi na alilia jicho Moja kama Sabaya Siku ya msiba wa Jiwe huko akitaja
Jina la huyo manzi
Hiiiiii yaaaaaaaa,uwiiiiiii mchumba Wangu Monica ndio namwacha Hivi Hivi yaaaaaa Yesu weeeeeee
Monica,Monica Monica my love I leave you alone darling wooooiiiiiiiiiii
Ila mchizi hakufa alikaaa Sana Hawiii kama miaka mitatu Hivi
Aliporudi alikuta demu ana watoto wawili ya mwamba fulani msambaza magazeti na wakahamia zao Michigan
Hiiiiii bha goshaaaaa mmenikumbiusha mbali Sana wajukuuu zangu!
kwahiyo unanibishia Veteran niliyepigana Ile vita Aisee,Nyie jamaa ni waongo kinyama , Kwa life expectancy ya binadamu huenda kweli ashakufa mana hata veteran waliosalimika ww2 na walio hai sasa karbia wote wapo kwenye 90+ age , na Wana perish in alarming rate ... Swala la kwamba alifia vitani tafuteni jina lake , mtajua na sio kusema hakurudi Kwa hsia tuu.... Fiercely battle between Japanese and US kat ya 1941-1943 ilikuwa upande wa NAVY and Airforce, kuanzia 1943-1945 ilihamia upande ground , kama huyo jamaa ni marine force kuna viashiria alirud
[emoji3][emoji3][emoji3]kwahiyo unanibishia Veteran niliyepigana Ile vita Aisee,
Kwa taarifa Yako nilipigana Burma kwenye majeshi ya ushirika nikiwa mstari wa mbele na ndie niliyekua mwafrika pekee niliyeorganize kikosi hatari nilichokipa jina la Dumas the terrible Kutokana na kushambulia Kwa makali adui baadae nikaja pewa transfer na US Navy mpaka Bay of Pigs to Pearl Harbor ambapo nilisave battalion nzima iliyokua inarudishwa nyuma na Japanese Army
Baada ya vita nilienda kuishi Boston Massachusetts na nikafia hapo January 1997 nikiwa na umri wa miaka 95 na nikazaliwa Tena June 1997 huko Nyumbanitu Njombe
WTF!
Kwenye FURY[emoji28][emoji28][emoji28]dont kill me..
i have wife & kid..
Vipi alisalimika?Kwenye FURY[emoji28][emoji28][emoji28]
yule mjerumani alipodakwa, anajitetea huku anatoa vipicha picha.. [emoji38][emoji38]
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Kuna dogo alishikishwa silaha kwa nguvu kisha akafosiwa amshoot, japo dogo aligoma lakini ilitumika nguvu ya ziada na ndo ukawa mwisho wa huyo mjerumani mwenye vipicha vya familia!!Vipi alisalimika?