Huyu jamaa wa EFM anaboa sana

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Habari waungwana,


Kuna jamaa mmoja anaitwa panju wapanjuani kiukweli mimi huwa ananikera sana kwa kitendo chake cha kubana sauti. Huku ni kuwadhalilisha wanaume kwa kubana sauti , tushazoea wanaobana sauti ni ke.

Wewe mwanajf unamuonaje huyu jamaa?
 
Ni sehemu ya kipindi chao mkuu...Wametumia Sanaa tu kwa huyo jamaa
 
mie huwa hata simuelewi ila nalazimika kusikiliza michezo EFM
 
Mi naona poa tu maana anajarib kuwaiga watu flan hv so kwa styl ile inafanya pia kipnd kuwa poa yan hauborek. Hilo ndo lengo kuu kwa nnavyoona mimi
 
mm pia simuelewi.....!! kuna jamaa walimleta alikua ana-act ni mzungu ..alikua anaitwa saa mbovu ...sijajua aliendA wapi tena....aisee alikua vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…