Huyu jimmy chansa ni nani kwani?

Huyu jimmy chansa ni nani kwani?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Nilikuwa nimechil tuu ghafla Eatv wakaonesha video ya jamaa mmoja hivi.
Nikajiuliza hii ngoma ya nani mbona imetulia hivii??
Nikaja kucheki wimbo unaitwa sijakusahau '.
Jamaa mwenyewe mwenye hiyo ngoma Kumbe anaitwa Jimmy chansa.
Hiyo nyimbo toka jana narudia tuu kwenye playlist yangu hapa toka asubuhi mpka sasa!
Nikaja kuambiwa jamaa mwenyewe anafanya mziki kama Hobbie tuu..

Sasa kwa wanaomjua tafadhali mwagikeni hapa..
Nyimbo yenyewe nimeshindwa kuiweka hapa ila ni nzuri kiukweli sijui ni mpya au lah
 
Ni ndugu yangu huyo kutokea kanda ya ziwa pande za Mwanza Mwanza kaanza hustling za muziki 2013 kabla ya kuhamia DSM na kuanza kuishi Sinza madukani kwenye hostel moja hivi.

Kashiriki sana Super nyota lakini hakuwahi kutoboa hiyo ngoma ya Sijakusahau inazaidi ya miaka minne toka itoke
 
Ni ndugu yangu huyo kutokea kanda ya ziwa pande za Mwanza Mwanza kaanza hustling za muziki 2013 kabla ya kuhamia DSM na kuanza kuishi Sinza madukani kwenye hostel moja hivi.

Kashiriki sana Super nyota lakini hakuwahi kutoboa hiyo ngoma ya Sijakusahau inazaidi ya miaka minne toka itoke
Kumbe! Safi sana mkuu hicho ndo nilichouliza sredi na ifungwe sasa..nyimbo nzuri sana hiyoo..
Cha ajabu kuna jamaa hapo juu kakazania juma lukole sijui James delicious!!! Daah
 
Ni ndugu yangu huyo kutokea kanda ya ziwa pande za Mwanza Mwanza kaanza hustling za muziki 2013 kabla ya kuhamia DSM na kuanza kuishi Sinza madukani kwenye hostel moja hivi.

Kashiriki sana Super nyota lakini hakuwahi kutoboa hiyo ngoma ya Sijakusahau inazaidi ya miaka minne toka itoke

Afanye shughuli nyingine. Muziki hawezi
N.B: Ushauri wa bure
 
Back
Top Bottom