Huyu Jumapili Kayuni vipi na Kaseja!

Huyu Jumapili Kayuni vipi na Kaseja!

davidmimbi

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
18
Reaction score
0
Haiingii akilini mtu kama kayuni nakuwa na bifu na Kaseja,kwanza viwanja anavyotanulia kaseja ni tofauti na Kaaseja,leo iweje huyu babu agombane na kijana wake mpaka amwekee visa kwenye maisha! Kayuni weka wazi!
 
Back
Top Bottom