Lazima tuingilie mambo ya watu nasema ni lazima , maana tunaishi kwa kuingiliana sisi sio visiwa kuamua kukaa kivyetu vyetu . Sasa kama huyu mukaka kaamua kuwa hivyo sasa madada zetu nani ATAWA-DO ? Makaka mmeubiwa kuwadu madada
macho juu juu kuchunguza ya watu wakati ya kwenu yanawashinda, tena ukute wewe unayezungumza haya pengine na wewe nawe hujaolewa na kama umeolewa basi ni zile zile ndoa ali mradi na mimi nionekane nimeolewa. Tatizo akina dada wengi huwa hawapendi kupingwa kwa maana wamezoea kusifiwa hata kwa ujinga. Amen
yutong, before getting too personal, ungejifunza jinsi ya kukosoa watu, kuna ile inaitwa constructive critisism kama hauna sifa hiyo, don't point fingers.
dah! Huyo ni shoga tu. Jarbu kumtokea. Akikubali usimnanii ila mshauri. Kwa mwanaume rijal hawez kuwa namna hyo mi nikikaa wiki tu bila kula kero. Ye miaka thirty. Hayuko sawa