heee!!!Vp umeshajifungua momy
Hasira ambazo zime mletea hata yeye mwenyewe maumivuDuuuu hapana so kwa hasira hizo kushika mkaa wa moto
JaaamaniiiiiiiMwaka 2005 nilipokuwa namalizia form4 Tarime Secondary, siku hiyo tupo Buhemba tunapiga piga stori na wana mida ya saa moja jion wakaja wakurya wawili wanalumbana, kumbe wanalumbania kipande cha spring ya gari, huyu mmoja akidai ni chake huyu mwingine hataki kumpa, sasa sauti zikawa kubwa katika kulumbana kwao. Kidogo, yule aliyekuwa na kile chuma akampiga nacho kiunon mpaka tukasikia mshindo kutoka kiunoni, mpigwaji akatoa ukelele wa uchungu akamwambia narud Muraa. Jomba aliyepigwa alirudi na chupa za kutosha, akaanza kuzirushia mbali kuelekea aliko mbaya wake. Watu tulisambaa center nzima kila mtu akikimbia kujinusuru.
Analolizungumza Nahuja hata sishangai
Ila wanapenda kutumia silaha sio ngumi kama wanaume wengine!!!![emoji1] [emoji1] [emoji1] mkurya hataki masihara kabisa
hahahahah, ilikuwa balaa pale NATAHe he he he
Kaazi kweli kweli
Sio ndoto ni kweliHii stori niliiota mwaka juzi.
hahaha, unaongelea wa hapo Kitunda sio!!!!Hawa wakurya ndivyo walivyo,ukimuudhi ugomvi hauishi kirahisi hata ipite miaka minane.....wakimaindi wanaweza kukata hata miguu ya ng'ombe yote zizini
Kinachonipa mashaka ni hawa wakurya wa dar kina Mwita waitara wasiojielewa kama wakurya wa Tarime
π³π³π³π³π³Siku moja nilishuhudia kitu cha ajabu sana,kuna jirani yangu mkurya alimpeleka mwanae kwa bibi yake huko tarime dogo akiwa na miaka 3,dogo akaishi huko kwa muda wa miaka 2,baba yake akaenda likizo akarudi naye.
Siku kama mbili hivi toka dogo arudi ,tulikuwa tunapiga stori nje nyumbani kwao ,dogo alikuwa anacheza na wenzie mtaani ,nadhani akagombana na mwenzie akapewa kichapo,tulimuona dogo anarudi mbio analia ,moja kwa moja ndani akatoka na panga anakimbia kurudi huko alikopigwa ,yaani bila kumkimbiza na kumnyang'anya panga sijui ingekuwaje.
Kumbe mnapenda kuchiti ?mmmh!!!! Cute hapana bwana, huyo ndio wale ambao akikuhisi unamchiti anaweza kuchukua mkaa akakubandika hukoooo!!!
Ndio hivyo mkuu pia tupo wanaume wa mkoani ila tunaishi darπππππ
Hahaha umesema mdomo nikakakumbuka kamange kimambiUsimuite katili,,,, unatoa vyeo vingi vibaya vya kila namna kwa jamaaa.
Ila huyu aliemtusi mama wa watu, hujaona ukatili wake.
Mkurya hakufanya na huyu alietusi aangalie vipimo vya kinywa chake
Mdomo unaweza leta madhara zaidi, kuliko mkono.
Ngumi wanatumiaga kwa wanaojamiiana kidamu ila kama ni mtu baki tu utaelewa tu somo la bapa za pangaIla wanapenda kutumia silaha sio ngumi kama wanaume wengine!!!!
Sio riwaya ni tukio la kweli mkuuLiwaya nzuri sana