Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

Hao nguruwe jana kidogo watugonge na kisuzuki carry chetu
 
Duniani kote hao makamanda wana misafara kama kero ikizidi unaweza kubadili barabara tu
Acha uongo ,watanzania kitu kidogo chenye ukweli unataka kutuaminisha hapa,wote tumetembea dunia hii na hakuna kitu unachotaka kutuaminisha,personal nimeshawahi kuwa msafara mmoja na president wa Botswana (alikuwa anaendesha pikipiki yake)kwenye foleni na hakuna mwenye wasiwasi na alikuwa anafuata sharia za usalama barabarani kama watumiaji wengine ikiwa ni pamoja na kusimama kwenye stop sign.watanzania tumeshafikishwa mahali pa kuogopa vivuli vyetu!!
 
Wewe ndio kero kwanini usiamke usiku muda huo ukukute umefika unakokwenda.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askari huo ujasiri wa kutii sheria mnaupata wapi huku kila siku mnatenda yasiyofaa kwa maelezo kutoka juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha iko wapi maana ni kila siku anapita! Hata video leta
 
Nipeni
Majina yake mayatu
Cheo chake
Anakofanyia kazi
Umri wake
Kazi yake ili nikam Google vizuri
 

Maboresho kidogo.Kwa miakayote huko nyuma ilikuwa mara zote madaraka ya Chief of staff ilikuwa hayatenganishwi ni cheo cha pili chini ya Jenerari. Maana yake kulikuwa na Leteni General mmoja na Generali mmojatu in service at all times. Kwa mara ya kwanza ilitokea wakati Kisamba alipoteuliwa kuwa kiongozi wa peace keeping Darfur kukawa naLt. Gen wawili lakini huyo mmoja alikuwa stationed Darfur. Alipomaliza muda wake mara moja akahamishiwa ubalozi nje ya nchi.

Kwahiyo kwa mara ya kwanza wapo wawiliin service an in country kwa maana mkuu wa National Defence Collage naye ni Lt.Gen. Kimsingi nakubaliana na wewe kuhusu cheo na madaraka maana huyo wa NDC hana msafara. Na hata kwenye profession unaweza kukuta mwenye cheo kidogo ana mamlaka na hivyo maamuzi kuliko mkubwa. Kwenye hali hiyo huwa wanatumia first officer na second officer.
 
asante sana mkuu...kuna kitu nimeongeza kupitia maelezo haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…