Nimejikuta namhurumia tu kijana wangu huyu mweee. Hivi hawajifunzi kwa Akina Mwisho Mwampamba baada ya Ushindi wa BBA.
Anyway baada ya muda madalali wajiandae kumtafutia mteja wa hiyo ndinga maaana hatoiweza kuihudumia kamwe kwa mishe za Mikeka.
Hakupata mshauri pole yake, maana salio lilisalia ataishia kununua mafuta ya hilo gari, wanaume wakitanzania mnafeli wapi jameni, au ndio kukosa exposure kunawafunga hizo akili zenu lol
Haya mambo ya kupangiana matumizi kwenye pesa isiyowahusu ndio tabia za Kitanzania..
Unakuta mtu hajachangia utafutaji wa hela lakini kwenye kupanga matumizi ndio kinara no 1...
Tuache hii tabia na tujikite kwenye kutafuta pesa zetu na kila mtu atumie pesa yake atakavyo muhimu ni kufuata Katiba