Kwani hakulipi kodi ya nyumba,na kama anakulipa,we shida yako ni nini hasa?huyo jamaa labda ndo staili yake ya kuishi kama binadamu wengine,je mbona hushangai wanawake wanaovaa suruali?
Tatizo la huyo dogo ulishalijua labda kama unataka na wewe kufaidi huo mwenendo wake!
wewe umwache vp banaaa?mfukuze uyo
iyo laana yake akaifanyie mbali
itaitwa nyumba ya mashoga bure
ninavyowajua wale anaweza akaita mashoga wenzake waish kwako....
U MKATABA UWE WA MWISHO UMKIMBZE ARAKA IWEZEKANAVYO..SAWA?
MI MAMA MWENYE NYUMBA NISHASEMA
BYEE.
ndugu, nina kijana amepanga kwenye apartment ya house yangu, kijana alikuwa ni mtu wa kawaida mwenye majukumu yake ya kiofisi mazuri tu. Ninachoshangazwa nae siku za hivi karibuni ameanza kubadilika kiaina fulani, kwanza ameanza kutumia lotion za kung'arisha ngozi, anatumia perfume za kike, mavazi akishatoka ofisini (suit na tie) anavaa mavazi tofauti na ya zamani, sasa ni jeans za kubana juu kuachia chini, hachomei tena bali ni kuachia vishart vibody, mwendo sasa unachange umekuwa wa kuyumba yumba, nywele ni mafuta ya carl, wanja wa kati ya macho, chakushangaza na sauti sasa anarembesha kuliko ya kwangu, hata mikao sasa inachange jamaniiiii.
Sasa kwa kuwa nimempokea na naishi naye kama mdogo wangu kutoka mikoa ya kaskazini,nashindwa kumwelewa, hivi ndo hayo mambo ya sharobaro au ndo kashaingia kwenye mtoto si rizki???
Mnanishauri vipi? Nimuingie na kumuuliza juu ya mwenendo wake au?
HIYO POST YA ROZI 1980 NAISAPOTI KWA ASLIMIA 100% IFANYIE KAZI MKUU!😛lane:
Nasema hiivi kumaanisha maana kama amekuja yuko sawa amefika kwako akaanza mashosho lazima na wewe nikuulize kulikoni ??alipotoka asiwe hivyo aje kupakia lotion na mengineyo kwako?
Yaika yaika yaika mwanawasuJamani ukisikia wenye nyumba wanoko ndo kama wewe aahhh nitarudi baadae
Kwanza hongera kuwa na apartment......maana siku hizi kuwa na nyumba bongo we kibopa
Pili naomba nikupe ushauri...kama si ndugu yako yanakuhusu nini.... Ingekuwa uswahilini tungesema wewe mswahili....Muache yeye ndo anajua mipangilio ya maisha yake ilimradi kodi yako kakupa.... NADHANI HAKUNA HAJA YA KULETA HOJA HII KWENYE JF.
mapouuuuda boyhivi SHAROBARO ndo mdudu gani?
mapouuuuda boy
wanapenda kulelewa
sana wanapenda kuimbaimba zaid ya kaz za maofisin
hawajui kuhonga wanapenda kuhongwa
thr thin line btn masharobaro na mashoga.
Nawasilisha ..byeeeeeee!!!!!!!!
Huyu mdudu anapatikana sana huku kwe2 bongo anatokana na ulimbukeni.ndo wapka poda,hawaishi kulamba midomo na kujiumauma.mwingne kesha pewa uprezdaa wa huyo mdudu kwani uwez kuwa mtanashat mpaka madoidohivi SHAROBARO ndo mdudu gani?
mchakamchaka chinja! alliimserema chinja,
mchakamchaka chinja! Alliimserema chinja,