Huyu kijana ni mzima kweli??

Kwani hakulipi kodi ya nyumba,na kama anakulipa,we shida yako ni nini hasa?huyo jamaa labda ndo staili yake ya kuishi kama binadamu wengine,je mbona hushangai wanawake wanaovaa suruali?

UWEZ KULINGANISHA SWAGA ZA mwanaume shoga NA MWANAMKE MVAA SURUALI
:frusty:
 

Rose hapa umeniamsha kwa lengine kabisa, yaweza kweli nyumba yangu ikaitwa ya mashoga... maana mwendo huu sio... ushauri nimeupokea, soon nitatoa notice
 

umempangishia apartment yako ama umempangishia na maisha yake ya ujumla jibu niendelee??
 
Kwanza hongera kuwa na apartment......maana siku hizi kuwa na nyumba bongo we kibopa
Pili naomba nikupe ushauri...kama si ndugu yako yanakuhusu nini.... Ingekuwa uswahilini tungesema wewe mswahili....Muache yeye ndo anajua mipangilio ya maisha yake ilimradi kodi yako kakupa.... NADHANI HAKUNA HAJA YA KULETA HOJA HII KWENYE JF.
 
Nasema hiivi kumaanisha maana kama amekuja yuko sawa amefika kwako akaanza mashosho lazima na wewe nikuulize kulikoni ??alipotoka asiwe hivyo aje kupakia lotion na mengineyo kwako?
 
HIYO POST YA ROZI 1980 NAISAPOTI KWA ASLIMIA 100% IFANYIE KAZI MKUU!😛lane:

awa watu mashoga wanakera asikwambie mtu kakangu

unaweza ukatembelewa na watu wa heshima apo kwako ndo wakamkuta ktk swaga zake izo itakuwa aibu kwako...utawapa utata ahhhhh uyu nae ni wale walew au inakuwaje?

km si walewale imekuwaje amekubali kukaa nae ?

heshima utajipunguzia ma dear ....ata km unaisha kwa mising ya KILIBERAL thats ever one has right kuwa anavyotaka ,akiwa shoga sawa akiwa msagaji poa lakin si kiivyo ata JOHN LOCKE mwenyewe founder of liberalism awez kukubali upumbavu u kwa vle unakinzana na mila,destur na maisha ya mtanzania...
MTIMUE.

cha kuvumilia ni matatizo lakin si ujinga.
 
Nasema hiivi kumaanisha maana kama amekuja yuko sawa amefika kwako akaanza mashosho lazima na wewe nikuulize kulikoni ??alipotoka asiwe hivyo aje kupakia lotion na mengineyo kwako?

it seems alikuwa anaficha
baada ya kuzoea mazngira akaamua kuish katika UTARATIBU WAKE.
 
Mimi nafikiri kabla hujafikia uamuzi wa kumfukuza jaribu kuongea naye, tumia hekima yako, huwezi jua unaweza ukamsaidia kumtoa huko kubaya! Ikishindikana.... basi waweza kuchukua hatua ya pili!
 

1.HAJA YA KUILETA JF IPO
2.SI km anamwingilia maisha yake ni kwamba jamaaa kapanga nyumba ayakle afu analeta swaga za ushoga ...kwa mwenye maadili lazima ataona tatizo na kujaribu kuchukua hatua

3.kakangu wewe kesho mdada akija kupanga kwako then akaanza kufanya danguro chumba chake wewe mwenye nyumba utakaa kimya?

4.uzungu mwing au utandawaz au ndo kuheshimu maisha ya mtu ata akifanya ujinga ndan ya nyumba yako ukaae kimya???
mmh apana
km we UNANYUMBA BASI AKITIMULIWA UKU AJE APANGE KWAKO CZ IT seems hauna shda sana na tabia izi.
 
hivi SHAROBARO ndo mdudu gani?
mapouuuuda boy
wanapenda kulelewa
sana wanapenda kuimbaimba zaid ya kaz za maofisin
hawajui kuhonga wanapenda kuhongwa
thr thin line btn masharobaro na mashoga.
nawasilisha ..byeeeeeee!!!!!!!!
 
mapouuuuda boy
wanapenda kulelewa
sana wanapenda kuimbaimba zaid ya kaz za maofisin
hawajui kuhonga wanapenda kuhongwa
thr thin line btn masharobaro na mashoga.
Nawasilisha ..byeeeeeee!!!!!!!!

nimekusoma kiufasaha...
 
hivi SHAROBARO ndo mdudu gani?
Huyu mdudu anapatikana sana huku kwe2 bongo anatokana na ulimbukeni.ndo wapka poda,hawaishi kulamba midomo na kujiumauma.mwingne kesha pewa uprezdaa wa huyo mdudu kwani uwez kuwa mtanashat mpaka madoido
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…