Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata asipomaliza, atakuwa ametuachia pumziNaona huyu kocha wa Simba hatamaliza msimu...
Akifika hata nusu Tu ya hii season ashukuru...
Na watakaomfukuzisha ni Bocco na Kibu DennisNaona huyu kocha wa Simba hatamaliza msimu.
Akifika hata nusu tru ya hii season ashukuru.
Kocha bwege kweli hajui kitu timu inacheza aerial balls muda wote na aerial balls hamna kitu, flanks hamna kitu, hatuna flanks players wanaosumbua mabeki, midfield sifuri yaani ni aibu, beki za pembeni hazipandishi timu hii Simba kelele mingi nguvu sifuri, wachezaji waliingia na matokeo mfukoniNaona huyu kocha wa Simba hatamaliza msimu.
Akifika hata nusu tru ya hii season ashukuru.
Chama pia atahusika sana kumfukizisha!! Play maker wa Simba ni Chama, halafu yeye anajifanya kumweka benchi!! Huyu kocha ana kiburi sana!!. Anaonea wivu ufalme wa Chama alio nao hapo Simba!! Ameshindwa kabisa kutengeneza first eleven ya kueleweka!!Na watakaomfukuzisha ni Bocco na Kubu Dennis
Chama Leo alikua kafungiwa kutokana na red card ya msimu uliopita, nyi kenge mnajaza tu server za jf wakati hamfatilii mpiraChama pia atahusika sana kumfukizisha!! Play maker wa Simba ni Chama, halafu yeye anajifanya kumweka benchi!! Huyu kocha ana kiburi sana!!. Anaonea wivu ufalme wa Chama alio nao hapo Simba!! Ameshindwa kabisa kutengeneza first eleven ya kueleweka!!
Na PhiriNa watakaomfukuzisha ni Bocco na Kubu Dennis
Hata hujui kwa nini Chama hajakuwepo kwenye mchezo wa jana unakoroma tu kama mlevi wa chang'aa.Chama pia atahusika sana kumfukizisha!! Play maker wa Simba ni Chama, halafu yeye anajifanya kumweka benchi!! Huyu kocha ana kiburi sana!!. Anaonea wivu ufalme wa Chama alio nao hapo Simba!! Ameshindwa kabisa kutengeneza first eleven ya kueleweka!!
Chama pia atahusika sana kumfukizisha!! Play maker wa Simba ni Chama, halafu yeye anajifanya kumweka benchi!! Huyu kocha ana kiburi sana!!. Anaonea wivu ufalme wa Chama alio nao hapo Simba!! Ameshindwa kabisa kutengeneza first eleven ya kueleweka!!
Yanga wana hazina kubwa sana ya wapumbavuAMA KWELI UJINGA NI KIPAJI.
Asifukuzwe. Huyu ndiyo kocha bora kwa ustàwi wa simba mpyaNaona huyu kocha wa Simba hatamaliza msimu.
Akifika hata nusu tru ya hii season ashukuru.
Beki za pembeni zimeshachoka walipaswa kuwepo mbadala wao na bado beki ya kati kizungumkutiKocha bwege kweli hajui kitu timu inacheza aerial balls muda wote na aerial balls hamna kitu, flanks hamna kitu, hatuna flanks players wanaosumbua mabeki, midfield sifuri yaani ni aibu, beki za pembeni hazipandishi timu hii Simba kelele mingi nguvu sifuri, wachezaji waliingia na matokeo mfukoni