unaweza kuwa HB ukapewa sifa au hata usipewe sifa ila ndani ya mioyo yao wakalikubali hilo. Najua ww kokudo huwezi kumpa sifa men mwenzako ukamuambia ni HB (in seriously) but unaweza kuwa unalikubali hilo moyoni. Lkn men huyo huyo kama picha haziendi hutokawia kumuona kama SharoB/mtu wa kujikweza kwa mademu/***** fulani ivi. Sasa iyo inasababishwa na chuki binafsi. Na ndiyo kwa mademu ipo ivo ivo. Wala pesa haimati sana coz inaweza kuwa unaowapa pesa (patner, spea tyire, wakuibia, mafrendz and ndugu) ni kidogo kuliko wanaokuita. Mi mwenyewe si yananikuta...