Huyu makamba vipi, eti SIM Card Tax ihamishiwe kwenye kodi ya wamiliki wa nyumba za kupangisha

kwa kweli sijui labda unihabarishe nijue zaidi

aaaha haya bana

wale wale waliolalamika khs kodi ya simu cards ndo hao hao waanga wa hii kodi ya nyumba kama itapitishwa, si ndo wapangaji namba one, so mwenye nyumba atakachofanya na kupandisha kodi ili kuweka kodi ya serikali inayopigiwa debe na makamba, then mzigo wote unamlemea mpangaji ambaye ni wewe na mimi tuliolalamikia kodi ya simu cards. Hope umeelewa hoja yangu sasa, but I stay to be corrected!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…