Huyu Mayele ni bonge la mshambuliaji

kambale mnene

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
271
Reaction score
197
Katika miaka kumi iliyopita toka hapa tulipo, tathimini yangu inanionesha hajawahi tokea mshambuliaji hatari kama Fiston Mayele.

Donald Ngoma na Okwi angalau kidogo.

Angalia mechi ya Jana Kigoma, japo hajafunga lakini mambo aliyokuwa anafanya pale mbele ni makubwa sana.

Anatumia hesabu ktk kupiga mipira golini, mikimbio, anavyojiposition nk.

Simba namponda kwakuwa hawana striker bora mfano wake.

HONGERA MAYELE, HONGERA YANGA
 
Mayele ni stricker mzuri sababu ni kinara wa kufunga magoli.

Sifa kuu ya stricker ni kufunga magoli.

Swali ni je'atadumu kwa misimu mingapi kuwa kinara wa ufungaji na pia ataendeleza ubabe wake wa ufungaji kwenye mechi za kimataifa? Ngoja tusubiri.
 
Mayele ni stricker mzuri sababu ni kinara wa kufunga magoli.
sifa kuu ya stricker ni kufunga magoli.

swali ni je'atadumu kwa misimu mingapi kua kinara wa ufungaji na pia ataendeleza ubabe wake wa ufungaji kwenye mechi za kimataifa?,ngoja tusubiri.
Hapa mkuu haujaleta Usimba wala Uyanga safi.
 
Mayele ni stricker mzuri sababu ni kinara wa kufunga magoli.

Sifa kuu ya stricker ni kufunga magoli.

Swali ni je'atadumu kwa misimu mingapi kuwa kinara wa ufungaji na pia ataendeleza ubabe wake wa ufungaji kwenye mechi za kimataifa? Ngoja tusubiri.
Kimataifa..yes , kupitia kwa msemaji wao msomi mwenye degree mbili za south africa na china bwana Hajj manara Yanga sc walitangaza kwamba mwaka huu watachukua ubingwa wa Afrika na wataanzia round ya kwanza siyo ya awali, inarajiwa Fiston mayele ataibuka top scorer wa CAf champions league
 
Kijamaa una ujinga mwingi sana hujijui tu.
 
Striker hajawahi hata kutoka na mpira uwanjani.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mayele anakabwa na mabeki kuanzia 2 na wana mkaba kweli kweli,
 
Ulitakiwa uwasifie mabeki waliomkaba na kufanya Mayele ashindwe kupata goli, Wewe mtoa mada unasifia mikimbio ambayo haijasaidia kitu!.

Mesi alikuwa anakabwa na mabeki watatu na bado alikuwa anawapita na anafunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…