Huyu mchezaji toka Serbia tumepigwa

Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.
[emoji3][emoji3][emoji3] si Yanga tunawapeleka puta mnajisajilia chochote mnachoaminishwa safari hii mtasajiri hadi mhindi maana dirisha bado lipo wazi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.
Bro mie ni yanga lakini nakwambia yule Mserbia ni bonge la mchezaji
 
Mchezaji ameingia ameingia dakika ya 76 na amegusa mpira kama mara tatu tu sidhani kama inatosha kumjaji kama ni mzuri au mbaya

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Dejan yuko vizuri shida ni mid nzuri ya kumlisha mipira
 
Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.
Apewe muda. Game ya jana ni showcase tu
 
Sasa wewe unataka kocha aongee na nani ?
Pale mpira hamna kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…