Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Inakuaje huyu jamaa anajina la kibongo au ndio yule aliewashugulikia simba jamaa anaitwa samueli mbangula kama unavyomuona hapo kwenye picha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mbona Hadi majina ya mwanzo yanaendana au ni nduguHapana siye Yule
Anaitwa Samson Mbangula Askari wa jeshi la magereza.
Inawezekana,ila dogo ni mbelgiji mwenye asili ya DRC hapo Kwa TshekediAisee mbona Hadi majina ya mwanzo yanaendana au ni ndugu
Duuh sawaInawezekana,ila dogo ni mbelgiji mwenye asili ya DRC hapo Kwa Tshekedi
Mbona Samson Mbangula afande ni mtanzaniaMpanzu, mbangula ni wacongo hawa, ifike muda huko ulaya tusikie mwakingwe, masawe, tibanyendera, ighondo, ngonyani, chiligati, maganga
aitwe kikosi cha starsMbona Samson Mbangula afande ni mtanzania
Hana uwezoaitwe kikosi cha stars
Wakimbizi Tz wapo wengi tu mbona! Tena wengine wako ngazi za juu kabisa za maamuziMbona Samson Mbangula afande ni mtanzania
DuuhWakimbizi Tz wapo wengi tu mbona! Tena wengine wako ngazi za juu kabisa za maamuzi