Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ni mtu mzima lakini kijana yaan ukienda znz ukabahatika kukutane nae kwenye botiiiukifika znz unaweza omba urudi dar kwa ajili yakeee
N mcheshi mwenye hekima yaan hata kama una stress za ndoaa zinaishiaa kwenye maji
Nilibahatika majuzi kumsikiliza nikielekea znz. Yuko serious na kazi yake penye utani utachrka nae na anauliza je unamaswali weyeeee??
Tusiache kupanda azam marine kupata wafurahishaji kama hawa
Hapo anamwambia fei toto akitka kuoa atampa mwanae wa kike ana watoto 8 mmh sijui hizi hashwa wanazitoa wapi
Na mke mmoja anamsifia kweli akiwa kwenye botii...
N mcheshi mwenye hekima yaan hata kama una stress za ndoaa zinaishiaa kwenye maji
Nilibahatika majuzi kumsikiliza nikielekea znz. Yuko serious na kazi yake penye utani utachrka nae na anauliza je unamaswali weyeeee??
Tusiache kupanda azam marine kupata wafurahishaji kama hawa
Hapo anamwambia fei toto akitka kuoa atampa mwanae wa kike ana watoto 8 mmh sijui hizi hashwa wanazitoa wapi
Na mke mmoja anamsifia kweli akiwa kwenye botii...