Huyu mchungaji anaitwa Mch. Prosper Shao wa KKKT Usharika wa Tumaini -Bariadi anahubiri asubuhi kupitia UPENDO-TV

Huyu mchungaji anaitwa Mch. Prosper Shao wa KKKT Usharika wa Tumaini -Bariadi anahubiri asubuhi kupitia UPENDO-TV

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Huyu mwamba anahubiri kila asubuhi ananibariki saaana yaani mafunzo yake hata kama sio mfuasi kama mimi ila unajisikia kijifunza jambo flani la maisha nimemfuatilia wiki hii, najisikia kubarikiwa sana. Nimeona niwashirikishe, anaanza sa 12.hadi sa moja kama sijakosea.

Muwe na siku njema iliyobarikiwa na Mungu wa Mbinguni 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

20220923_065246.jpg
 
Huyu mwamba anahubiri kila asubuhi ananibariki saaana yaani mafunzo yake hata kama sio mfuasi kama mimi ila unajisikia kijifunza jambo flani la maisha nimemfuatilia wiki hii, najisikia kubarikiwa sana. Nimeona niwashirikishe, anaanza sa 12.hadi sa moja kama sijakosea.

Muwe na siku njema iliyobarikiwa na Mungu wa Mbinguni [emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Kama mahubiri yake yanakufurahisha wewe usiyekuwa mfuasi basi bado hujajua kweli. Mahubiri ya kweli yanapaswa kukutoa gizani na kukuleta nuruni. Haiwezekani kweli ihubiriwe halafu ubaki jinsi ulivyo, huyo ni inspirational speaker tu.
 
Huyu mwamba anahubiri kila asubuhi ananibariki saaana yaani mafunzo yake hata kama sio mfuasi kama mimi ila unajisikia kijifunza jambo flani la maisha nimemfuatilia wiki hii, najisikia kubarikiwa sana. Nimeona niwashirikishe, anaanza sa 12.hadi sa moja kama sijakosea.

Muwe na siku njema iliyobarikiwa na Mungu wa Mbinguni 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

View attachment 2365269
Tupia clip ya video mkuu
 
Kama mahubiri yake yanakufurahisha wewe usiyejali mfuasi badi bado hujajua kweli. Mahubiri ya kweli yanapaswa kukutoa gizani na kukuleta nuruni. Haiwezekani kweli ihubiriwe halafu ubaki jinsi ulivyo, huyo ni inspirational speaker tu.
Maposema.mfuasi namaanisha mimi sio mshirika wa KKKT
 
Zamani watu walikuwa wanachukizwa na mafundisho ya neno la Mungu,sababu yalikuwa yanawaonya waache njia zao ambazo ni chukizo mbele ya Bwana,lakini siku hizi waumini wanasifia mafundisho..Ukute hapo mtu kaambiwa atapokea millioni 100.
Tumpende Mungu,tuache njia zetu ambazo ni chukizo mbele zake.
 
Zamani watu walikuwa wanachukizwa na mafundisho ya neno la Mungu,sababu yalikuwa yanawaonya waache njia zao ambazo ni chukizo mbele ya Bwana,lakini siku hizi waumini wanasifia mafundisho..Ukute hapo mtu kaambiwa atapokea millioni 100.
Tumpende Mungu,tuache njia zetu ambazo ni chukizo mbele zake.
Muhubiri anayefundisha kuhusu toba ndiye anayefaa hawa wa mafanikio ya mwilini wanatafuta sadaka
 
Uko sahihi kabisa na ukweli morning Glory huwa nzuri sana na wachungaji wengi huitendea haki
 
Anasemaje mpaka ukabarikiwa ili utushawishi kumsikiliza badala ya kufanya kazi za kutupa mkate wa siku?
 
Back
Top Bottom