Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
huyu mtoto balaa, hata akiachika leo watu wanaoa aisee. Vipi bosi wao pale hajamendea kweli?Msearch insta 'Mkabesah'.
Au Elizabeth Mramba. Najua tu atakuwa ni huyu cheupe.
'Bahati mbaya' amekwisha olewa na watoto kadhaa keshazalishwa.
chereko, ina madem wakali weupee
hujamwona live wewe, huyu mtoto ni balaa, akiwa studio kila fundi wa kiume anataka kufanya naye kazi, alafu hajui kukasirika, anacheka tu na watu, mme wake ana raha kuliko wanaume wengi, ukipata mwanamke anayekupa tabasamu, hata asipokupa chakula cha usiku unafika raha ya juu kabisa
Hata mimi sioni cha ajabu kutoka kwa huyu mwanamke,hawa jamaa hawajawahi kuona visu wallah!
Piga picha kwenye TV wakati anatangazaHakika TBC wameboresha, kwa anaefahamu jina lake tafadhali.... Picha zake nimezikosa kabisa google
Tunaitazama kwa malengo mkuu
Kifupi chake ni SUT
lete picha ya kisu zaidi ya huyu dadaHata mimi sioni cha ajabu kutoka kwa huyu mwanamke,hawa jamaa hawajawahi kuona visu wallah!
SHIHATAKifupi chake ni SUT
Corporation sio Cooperation