Huyu mdada anaetangaza taarifa ya habari ya TBC ameolewa?

kijungu kina nafasi yake ila rangi nyeupe ni adimu hasa ukute kama huyu hajatumia mkorogo.
Unavyomsifia huyo mrembo usikute ndiyo wewe mwenyewe umeamua kujifagilia😁😁

BTW , Mungu fundi kwa kweli
 
Msearch insta 'Mkabesah'.
Au Elizabeth Mramba. Najua tu atakuwa ni huyu cheupe.
'Bahati mbaya' amekwisha olewa na watoto kadhaa keshazalishwa.
Aisee! Bwashee hii komenti yako imenisikitisha sana nimetoka kum'view insta hadi namba yake yake kaweka.. nikaichukua itabidi niifute tuu.
 
Hata mimi namuona wa kawaida sana,nikajua labda ni mimi peke yangu ndio sijui maana ya uzuri.Wanawake kama hao kule moshi na arusha wanazagaa tu mitaani hawana inshu.
HaaπŸ˜πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…