Umeona eh! Mdada wa watu kawa mkweli then anaomba ushauri watu wamekazania kumsema utadhani wao hawajawai kucheat! Infidelity is here to stay!Nimeipenda hii Kimey;
ungeuliza ambaye anaona hajawahi kucheat hata mara moja asogee mbele, ungejionea maajabu........................ (hii haimaanishi mimi na-cheat)
Umeona eh! Mdada wa watu kawa mkweli then anaomba ushauri watu wamekazania kumsema utadhani wao hawajawai kucheat! Infidelity is here to stay!
Kuto kuukabali ukweli ni kujifariji ni kama imani flani tu! So that is the reality that can be proved!hii sikubaliani nayo Kimey, ngoja kambi ya upinzani tunajipanga vizuri.............. tukitoka tu hakuna tena atakayekuwa memba kwenye kile chama chao (chenu?)
Hahahaushauri wangu kwa dada "USITEME BIGJII KWA KARANGA ZA KUONJESHWA"
Kila kukicha mambo yanaongezeka
hii sikubaliani nayo Kimey, ngoja kambi ya upinzani tunajipanga vizuri.............. tukitoka tu hakuna tena atakayekuwa memba kwenye kile chama chao (chenu?)
Huyu ahitaji msaada maana alishajisaidia mwenyewe
wana jf mtamsaidiaje huyu mdada.........??
Me ni msichana mwenye umri wa miaka 27 have been dating a man for about miaka minne now, my boy friend is very good looking and very attractive. Ila tatizo linakuja kwenye mambo ya kitandani, before nilikua sijui kama anatatizo lolote kwa sababu yeye ndo man wangu wa kwanza, kweli wahenga wamesema tembea uone. Kuna siku nilicheat na mwanaume mwingine tena ni bwana wa rafiki yangu kwa kweli alinipagawisha sana mpaka leo namthamini sana kuliko boyfriend wangu maana, siku hizi nikiwa nae kwenye kumi na nane zetu simuenjoy kabisa huyu bf wangu.Guys naomba ushauri wenu maana huyu kaka mwingine hawezi kunichukua kimoja coz anamdate my friend though ndo nampenda Sana kuliko wangu.......