Huyu mdada kachanganyikiwa...anahitaji msaada

Katenda kosa kaomba ushauri mpeni
 
Ngoja shoga ako ajue ndio utaona jeuri yako... Wapi Da Sophy?
 
Hakuna cha kumshauri,tayari ni kahaba n a hana sifa,asije kumuua mwenzake kwa magonjwa!!!
 
Teamo huyu je huyu ana sifa za kujiunga katika kile chama chenu cha Infi?
 
Teamo huyu je huyu ana sifa za kujiunga katika kile chama chenu cha Infi?
natamani kumjua huyo dada nami nimege kwa raha zangu naamini kwa huyo jamaa yake hatarudi tena:director::loco::music:
 
e laima uishie kua kicheche manake sasa utahitaji kujua na nyingine zipoje! kwa taarifa yako hata huyo unaesema kua ni mtam angekua ndo alianza af ukaja kukutana na huyo unaedai sio mtam bado nae ungeona anouzuri flan asiokua nao mwenzie.
 
Nimeipenda hii Kimey;
ungeuliza ambaye anaona hajawahi kucheat hata mara moja asogee mbele, ungejionea maajabu........................ (hii haimaanishi mimi na-cheat)

lol FP sikuwezi hahahahah
 
ingekua a guy ndo kafanya hvo ungesemaje?
 
Atuambie tatizo lake. HUfiki kileleni au ni vipi? Humuenjoy kitu gani? eleza tatizo lako lieleweke.
 
We mdada...

Tubu na urudi kwa mpenzi wako. Tayari umejifunza jinsi ya kumegwa , mfundishe akumege vzr. Naamnini jamaa ako ni mzuri, badili tu akili yako then utapata raha.

Ulikosea kuonja ... ona sasa unataka kuchonga mzinga.
 
ni kweli dada umechanganyikiwa na unataka kuhalalisha uzinzi kisa eti una nogewa umeingiliwa na ibilisi nakushauri achana na uzinzi na olewa na usiwaibe waume za marafiki zako .
 
Nenda kwa huyo BF wako, na umsimulie haya yote, na wala usiogope kwani kama hukuogopa kufanya, utaogopaje kusema?...! Kuanzia hapo yeye atajua atakusaidia nini, na nature will take place....! Hata ukiachwa ni haki yako, maana kama wewe ulishindwa kuvumilia ukahaba huo, ndio unataka yeye avumilie? Mliungana na kuahidiana kuwa shida zote mtashare pamoja, hii mbona hukumshirikisha? Au sio shida? Au ndio ulidhani utaweza bila yeye? Ulitembea uone mengi, na sasa umeyaone...! Na ukizidi kutembea utayaona zaidi ya hayo, hata ya kote-kote na vuvuzela yatakupata...! Pia utakuja twangwa kwa rungu zilizoongezwa size kwa dawa za kichina, halafu uhalisia utakosa nafasi kwenye mapenzi yako...! Shauri yako...!
 
kakutane na kina MANDINGO, watakuonesha MSHARBAT LIHABIBA.
 
huyu dada kaomba ushauri . basi mshaurini aache kutumia mali isiyokuwa ya kwake na washauriane na aliye nae,. Huo ndo mchango alioutaka tu......
Anaitaji kusaidiwa, kushauriwa :llama: na kuhurumiwa kwa matendo yake mabaya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…