Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
style za ngono ndio mapenzi?
eh eh eh kaka taratibu maneno makali ayo, jaribu kuzingatia tafsida unapoongeakwani mapenzi ni nini? kata dudu lako tuone kuwa utapendwa na mtu
umesomekaeh eh eh kaka taratibu maneno makali ayo, jaribu kuzingatia tafsida unapoongea
mr &mrs wanafanyaga uzinzi?Vijana acheni uzinzi!!!
Kwahiyo mke wako ndio unamuita mdada?mr &mrs wanafanyaga uzinzi?
kuna tofauti gani? wewe unaweza kutafsiri kivingine kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yakeKwahiyo mke wako ndio unamuita mdada?
mia..........ukionyesha maujanja siku ya kwanza unamtisha mwenzio.inatakiwa uwe unamuuliza hapa nifanyeje?yote au nusu?vinginevyo atakuona muhuni.mia