Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
*Mgonjwa*: Daktari naumwa sana namoyona najisikia kufa kufa tu.
*Daktari*: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
*Mgonjwa*: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenziwa Arsenal
*Daktari*: Na unafanya kazi wapi?
*Mgonjwa*: Nilikuwa nafanya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise
HotelBagamoyo.
*Daktari*: Una akiba yoyote ya fedha benki?
*Mgonjwa*: Ndiyo, akiba
yangu yote ya fedha ipo DECI.
*Daktari*: Mmmh, unaishi wapi?
*Mgonjwa*: Naishi
mbagala karibu na kambi ya jeshi
*Daktari*: __________________
wakuu!
Kila mmoja kwa nafasi yake akiwa kama daktari,NAOMBA ASEME ATATOA JIBU GANI KATIKA KUMSAIDIA HUYU MGONJWA
*Daktari*: Wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira wa miguu?
*Mgonjwa*: Kwa Tanzania mimi ni shabiki wa Simba na Ulaya mimi ni mpenziwa Arsenal
*Daktari*: Na unafanya kazi wapi?
*Mgonjwa*: Nilikuwa nafanya GTV, baada ya kufa nikapata kazi Paradise
HotelBagamoyo.
*Daktari*: Una akiba yoyote ya fedha benki?
*Mgonjwa*: Ndiyo, akiba
yangu yote ya fedha ipo DECI.
*Daktari*: Mmmh, unaishi wapi?
*Mgonjwa*: Naishi
mbagala karibu na kambi ya jeshi
*Daktari*: __________________
wakuu!
Kila mmoja kwa nafasi yake akiwa kama daktari,NAOMBA ASEME ATATOA JIBU GANI KATIKA KUMSAIDIA HUYU MGONJWA