technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huyu jamaa mpaka hapo alipo hajabaka wala hajatoka na watoto wenye miaka chini ya 18
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!