technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kwani ishajulikana anatuhumiwa makosa yepi?Huyu jamaa mpaka hapo alipo hajabaka wala hajatoka na watoto wenye miaka chini ya 18
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!
Tuna hoja nzr asilimia 90 ni wake za watu na anawala uku anawarekodi na wanajua ila jamaa alikuwa achagui mzee ni moto tu.Sehem kubwa ya aliokua akiwala ni wake za watu,
TEAM KATAA NDOA itabidi nianze kuwachukulia serious wana hoja aisee 😀
Sijui anajiamn nnHuyu jamaa analomba balaa halafu kavu kavu. Nipo video ya 97.
Mkuu hujui hata kama kuna:Huyu jamaa mpaka hapo alipo hajabaka wala hajatoka na watoto wenye miaka chini ya 18
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!
Kosa lake ni indicent conductHuyu jamaa mpaka hapo alipo hajabaka wala hajatoka na watoto wenye miaka chini ya 18
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!
Unazijua Sheria za Nchi ya Guinea!?Huyu jamaa mpaka hapo alipo hajabaka wala hajatoka na watoto wenye miaka chini ya 18
Kosa la huyu jamaa ni gani? Kwamba aliwalazimisha au walimtaka?
Kesi yake na Piddy ni tofauti
Piddy alilalamikiwa Ila huyu hakalalamikiwa Bali wamevujisha video zake!!
Sioni kosa lake labda kufukuzwa kazi kwa maslahi ya ofisi ya umma Ila kesi hakuna hapo labda akose wakili mzuri kumtetea!!