Huyu mjamaa simwelewi

Ingekuwa mtu back yechu man ila jamaa alinifanyia udwanzi arif kwaiyo nimeona na mimi nimfanyie udwanzi iwe moko moko
Si ungemkata beto bablai..anakuchukuliaje mamiloo wako kidwanzi dingii?
 
Siku nyingine utakula makofi ili uwe unatumia lugha vizuri sio unaandika kama umekunywa ngedule
 
Ahsante kwa taarifa ๐Ÿ—ฃ๏ธanother one
 
Mdudu hajui kua K haina makombo, ni kama sahani ya hotel, ukisha kula inaoshwa alafu mwenzio nae anakulia hiyo sahani!!
Hajui ilo huyu mdudu watakuja mkanyaga vibaya na masendeu kama ataendelea na tabia yake.
 
Chuga huwaga mna matatizo sana. Utakuta mtu Hadi chuo lakini tabia zake ni kijana anaebalehe kabisa. Ndo ungareroo au?
 
Kwanza wewe ndo hufai kwa huyo binti,unajiona kua ulistahili kwake zaidi lakini....Attitude zako ndizo zilimpoteza huyo binti.....mpaka sasa hujui ujumbe wako unauwasilisha vipi kwa jamii ka hii,,,
 
Matumizi ya Hovyo ya Kibodi(keyboard),,Wewe ndio upo sahihi endelea kumsema mchizi wako.
 
Sema mshkaji wako kazingua kinoma dah ko kamuoa shemeji yake saiv ww ndo shemeji qmmk kimtindo lazima uumie
 
Mi siezi pogana paru na huyo waki. Kwanza hata njaro zake naziona za kigasho tu mtu hatupii hata shada wala gambe.
Bora umeeleza matatizo yako, nimepata kujua sababu ya kuachwa - huyo mraksi alikuzidi akili, na kujua wewe ni mdudu kitambo
 
Huyo msela hajafanya poa kukuchukulia manzi yako inauma mbaya,mpotezee tu
 
Heshimu ndo ya watu acha utoto
 
IPO siku huyo jamaa ako ukimwambia hivyo atakutia Kabali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ