Sasa ngoja nikufunze we dada pamoja na wasichana wenzako, Wanaume kwa sasa tupo kwenye mgomo wa kuoa mpaka pale mtakapo jirekebisha hiyo tabia yenu ya kuWa OMBAOMBA, mtu unakazi ya kukuingizia kipato, hicho kidogo ukipatacho kitumie vizuri kutatua shida zako na sio kumtegemea mwanaume. KWANI KABLA SIJAJUANA NA WEWE ULIKUWA HAUNA SHIDA? KWANINI BAADA YA KUANZA UHUSIANO WETU NDO SHIDA ZINAKUANDAMA? BASI PENGINE MIMI NINAKULETEA NUKSI KTK MAISHA YAKO, HIVYO NI BORA TUACHANE ILI SHIDA ZAKO ZIISHE.
NYIE WASICHANA MMEJIJENGEA KASUMBA KWAMBA MTU AKISHAZALIWA MWANAUME BASI PESA ANAZALIWANAZO HIVYO MNAMGEUZA ATM.
NDO MAANA KWA KULIGUNDUA HILO WANAUME TUMEGOMA KUOA BADALA YAKE TUNAWAMEGA NA KUWAACHA.