mapenzi ya kweli yanapimwa mnapokuwa ndani ya uhusiano huwezi kupima mapenzi ya kweli ukiwa nje ya uhusiano,na kuhusu kukupa vijisenti unaonekana ww ndo huna mapenzi ya kweli kwan unaonekana bila vijisent hakuna mapenzi....kuhusu huyo jamaa inaonekana alikuwa anakufaham hapo kabla na alivutiwa na wewe ila tatizo ilikuwa atakupataje, baada ya kupata namba zako ikabidi afanye kweli kwan kwa akili ya kawaida n vigumu mtu hakufaham anakuja kujitambulisha kwenu na kutangaza ndoa ......mfikirie huyo ni wa ukweli.....ni ushauri tu
like like like like!
Mkuu umesomea mambo ya behaviourism na psycho nini?
Mh amina ali...jina lako linanikumbusha Amina Ally mmoja nilisoma naye O'level Kilimanjaro huko miaka hiyo..cjui ndo wewe!
eniwei, ushauri wa kukusaidia sina labda nikusaidie kuchagua gauni la harusi!!
Wanawake wenzangu acheni kuwa cheap! Kwani mapenzi ya kweli mpaka akuhudumie??It seems ww amina ukihongwa pesa ndo unajua mtu anakupenda kumbe unakosea. Jipende jiheshimu thamini utu na mwili wako,usipende vya dezo!!!!!Mwambie kwanza akuhudumie na vijisenti ili kuonyesha mapenzi ya kweli kisha ndio akuwowe.
sio mimi hiyo sehemu ulotaja sijawahi kufika wala siijui
Unashauriwa vibaya,coz unaonekana ww si wa mapenzi ila unataka huduma..Poor you!jamani nishaurini vizuri sitaki nipendeze lakini angalau angeonesha vijidalili hali yangu ya maisha anaijua na anajua sina wa kunihudumia lakini pengine anadharau hata hivyo suala la kunionja asiweke akilini mwake hata angenihudumia kiasi gani natunza heshma yangu
Sawa we si kiwete lakini kwa nini unatanguliza pesa kuliko mapenzi ya kweli? Usiweke pesa mbele, kama nia yako ni kusoma mueleze hilo swala uone atakusaidiaje!
Duh,
Kama wake watarajiwa wenyewe ndio hawa tutaoa kweli?
Unguja tabia hii ya mwanamke kukujua tu mara anataka kukufanya ATM inaitwa "Hashuo la Mkunguzuo"
Dada Wewe Unampenda huyo kaka yaani unamapenzi naye kutoka Moyoni au ni kwa sababu amekuahidi atakuoa...?
hivi haya ndo maisha ya wapendanao au nikwangu tu?
maisha yapi? fafanua kidogo basi maana sisi wachangiaji hatuyajui maisha yako