Nyoni nashauri akae namba 8 kutawanya mipira kwa namba 9 na 10 na 7 na 11.mzee onyango akae kwa kutulia tu alafu sjui kwa nn kocha hampangi Duncan nyon jamaa anakaba na anapiga pass za uhakika
Niksoni? Unamaanisha Miquissone? Nashangaa huwa mnataja jina isivyo tatizo nini aisee!!?nimeiona Ila uniksoni and chama kivuli kinatutesa sana
Kweli mkuu, Duncan Nyoni anaweza haswa kuchezesha timu, aaminiwe..sijui kwa nini kocha anamficha huyu mwana
Utopolo buana, kuna beki mwepesi kama Inonga hapa bongo?Jamaa mzito, hana kasi
Hata Nyoni ni kiraka pia anamudu half back 4,Ibrahim Amme aliyetolewa kwa mkopo pia ni moto.Tuna hazina ya mabeki wanne wa mwisho na wote wazuri.
Wawa
Onyango
Kennedi
Inonga.
Akiumia mmoja anaingia mwingine moto ni ule ule.