Huyu Mnyama ananitoa roho

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
25,874
Reaction score
36,030
Huyu hadi 2020 miezi kama hii ntakuwa nalo home.

Kikubwa afya na uzima basi!
 
Huyu hadi 2020 miezi kama hii ntakuwa nalo home.

Kikubwa afya na uzima basi! View attachment 1162163View attachment 1162164View attachment 1162165
Huo Mnyama ndio alihongwa "BASHITE" kwenye lile sakata alilowabambikia MADAWA YA KULEVYA wafanyabiashara kuwa blackmail kwa "MAKONDA STYLE".


 
Urusi yapo ya aina ipi wakuu (yaliyotengenezwa na mrusi)
Au Iran.
 
Amarok vw.... tukiingia uchumi wa kati nadhani ndo ntaangalia bei yake[emoji16][emoji848]
 
Sasa hio machine ya maana afu ina Automatic transmission,ya nini sasa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…