Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

Joined
Jul 31, 2024
Posts
11
Reaction score
21
Dear Hustler, mi ni mpambanaji mwenzenu mwenye bidii, uthubu na moyo wa kujituma kwa sasa niko Mwanza.

Nimeangaika sana kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti bila mafanikio, naomba kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kazi anisaidie

Mbali na kutafuta kazi lakini pia nina mtaji wa 1.2m, nikaribishe msaada wa mawazo kwa mtu yoyote mwenye wazo la biashara ashare na mimi maana nikikaa nayo bila kuizalisha itazidi kupungua

Naomba nielezee kwa ufupi sifa na uzoefu wangu

Sifa Zangu:
  • Umri 27
  • Elimu Diploma
  • Leseni ya Udereva
  • Kuandika na kupungumza kingereza kwa ufasaha
  • Uwezo mzuri wa kutumia computer (MS Word, Excel n.k)
  • Uwezo mzuri wa kufundishika na kuelewa mambo kwa haraka

Uzoefu wangu ni pamoja na:
– Uendeshaji na usimamizi wa migahawa (Bar manager)
– Usimamizi wa shughuli za ufugaji wa samaki na kilimo (Farm manager/field operator)
– Uuzaji na utangazaji wa huduma za utalii (Marketing and Sales Officer)

Nipo tayari kufanya kazi popote, ndani au nje ya Mwanza, na pia niko wazi kwa fursa yoyote ya biashara. Ikiwa kwa namna yoyote unaweza kunisaidia naomba unisaidie tafadhali

Asante

Mawasiliano: 0621903381
 
Dear Hustler, mi ni mpambanaji mwenzenu mwenye bidii, uthubu na moyo wa kujituma kwa sasa niko Mwanza.

Nimeangaika sana kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti bila mafanikio, naomba kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kazi anisaidie

Mbali na kutafuta kazi lakini pia nina mtaji wa 1.2m, nikaribishe msaada wa mawazo kwa mtu yoyote mwenye wazo la biashara ashare na mimi maana nikikaa nayo bila kuizalisha itazidi kupungua

Naomba nielezee kwa ufupi sifa na uzoefu wangu

Sifa Zangu:
  • Umri 27
  • Elimu Diploma
  • Leseni ya Udereva
  • Kuandika na kupungumza kingereza kwa ufasaha
  • Uwezo mzuri wa kutumia computer (MS Word, Excel n.k)
  • Uwezo mzuri wa kufundishika na kuelewa mambo kwa haraka

Uzoefu wangu ni pamoja na:
– Uendeshaji na usimamizi wa migahawa (Bar manager)
– Usimamizi wa shughuli za ufugaji wa samaki na kilimo (Farm manager/field operator)
– Uuzaji na utangazaji wa huduma za utalii (Marketing and Sales Officer)

Nipo tayari kufanya kazi popote, ndani au nje ya Mwanza, na pia niko wazi kwa fursa yoyote ya biashara. Ikiwa kwa namna yoyote unaweza kunisaidia naomba unisaidie tafadhali

Asante

Mawasiliano: 0621903381
Mkuu mwenyewe nipo mwanza ila next week naenda dar nataka nichukue mzigo wa nguo za mtumba na viatu vya mtumba pale karume then nivipeleke huko kusini nasikia vinatembea sana, mtaji wangu ni laki 8 kama upo interested tusepe but hakuna kushare mtaji.
 
Dear Hustler, mi ni mpambanaji mwenzenu mwenye bidii, uthubu na moyo wa kujituma kwa sasa niko Mwanza.

Nimeangaika sana kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti bila mafanikio, naomba kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kazi anisaidie

Mbali na kutafuta kazi lakini pia nina mtaji wa 1.2m, nikaribishe msaada wa mawazo kwa mtu yoyote mwenye wazo la biashara ashare na mimi maana nikikaa nayo bila kuizalisha itazidi kupungua

Naomba nielezee kwa ufupi sifa na uzoefu wangu

Sifa Zangu:
  • Umri 27
  • Elimu Diploma
  • Leseni ya Udereva
  • Kuandika na kupungumza kingereza kwa ufasaha
  • Uwezo mzuri wa kutumia computer (MS Word, Excel n.k)
  • Uwezo mzuri wa kufundishika na kuelewa mambo kwa haraka

Uzoefu wangu ni pamoja na:
– Uendeshaji na usimamizi wa migahawa (Bar manager)
– Usimamizi wa shughuli za ufugaji wa samaki na kilimo (Farm manager/field operator)
– Uuzaji na utangazaji wa huduma za utalii (Marketing and Sales Officer)

Nipo tayari kufanya kazi popote, ndani au nje ya Mwanza, na pia niko wazi kwa fursa yoyote ya biashara. Ikiwa kwa namna yoyote unaweza kunisaidia naomba unisaidie tafadhali

Asante

Mawasiliano: 0621903381
 
Mkuu mwenyewe nipo mwanza ila next week naenda dar nataka nichukue mzigo wa nguo za mtumba na viatu vya mtumba pale karume then nivipeleke huko kusini nasikia vinatembea sana, mtaji wangu ni laki 8 kama upo interested tusepe but hakuna kushare mtaji.
Idea nzuri na bahati nzuri mimi pia nina mtaji wangu, nimekucheck PM ili unielezee vizuri plan nzima ikoje
 
Hadi leo hujui uwekezaji unaolipa kuliko wowote?
Crypto ❌
Land ❌
Forex ❌

Invest in yourself✅
(nunua sana vitabu na usome) anagalia youtube video za kuelimisha

Huo ndo uwekezaji unaolipa duniani kote ,kitu cha kufanya utakipata wakati unasoma hivyo vitabu
 
Hadi leo hujui uwekezaji unaolipa kuliko wowote?
Crypto ❌
Land ❌
Forex ❌

Invest in yourself (nunua sana vitabu na usome) anagalia youtube video za kuelimisha

Huo ndo uwekezaji unaolipa duniani kote ,kitu cha kufanya utakipata wakati unasoma hivyo
 
Dear Hustler, mi ni mpambanaji mwenzenu mwenye bidii, uthubu na moyo wa kujituma kwa sasa niko Mwanza.

Nimeangaika sana kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti bila mafanikio, naomba kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kazi anisaidie

Mbali na kutafuta kazi lakini pia nina mtaji wa 1.2m, nikaribishe msaada wa mawazo kwa mtu yoyote mwenye wazo la biashara ashare na mimi maana nikikaa nayo bila kuizalisha itazidi kupungua

Naomba nielezee kwa ufupi sifa na uzoefu wangu

Sifa Zangu:
  • Umri 27
  • Elimu Diploma
  • Leseni ya Udereva
  • Kuandika na kupungumza kingereza kwa ufasaha
  • Uwezo mzuri wa kutumia computer (MS Word, Excel n.k)
  • Uwezo mzuri wa kufundishika na kuelewa mambo kwa haraka

Uzoefu wangu ni pamoja na:
– Uendeshaji na usimamizi wa migahawa (Bar manager)
– Usimamizi wa shughuli za ufugaji wa samaki na kilimo (Farm manager/field operator)
– Uuzaji na utangazaji wa huduma za utalii (Marketing and Sales Officer)

Nipo tayari kufanya kazi popote, ndani au nje ya Mwanza, na pia niko wazi kwa fursa yoyote ya biashara. Ikiwa kwa namna yoyote unaweza kunisaidia naomba unisaidie tafadhali

Asante

Mawasiliano: 0621903381
Karibu tufanye kazi pamoja kwenye nyanja ya Kilimo na Masoko
 
Back
Top Bottom