Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 64
- 89
Wana JF kuna mpangaji mwenzangu mumewe alimtelekeza na mtoto wa miaka 7, na mda sana tangu amtelekeze dada huyu amekuwa akipambana mwenyew akiuza genge lake ili kujikimu katika mahitaj yake mbalimbali.sa nmetokea kumtamn sana maan bado n mdogo umri ake hauzid miaka 25.
Huwa anakuja getho kwang labd anhtj nimuazme jiko apke wakt mwingne huwa anpkia kwang maan natumia jiko la gesi ila kila akija anakuja na mtoto ake sa nashindwa nianze vip wajumbe maan tunheshimiana sana akiwa na shida ndogondog namsaidia yy pia hunsaidia mimi wadau nifanyje nmchakatee, kumwambia naogop akikataa tutavunjiana heshima na baadhi ya videm vyangu huwa anaviona vinkuja getho wakuu nifanyj
Huwa anakuja getho kwang labd anhtj nimuazme jiko apke wakt mwingne huwa anpkia kwang maan natumia jiko la gesi ila kila akija anakuja na mtoto ake sa nashindwa nianze vip wajumbe maan tunheshimiana sana akiwa na shida ndogondog namsaidia yy pia hunsaidia mimi wadau nifanyje nmchakatee, kumwambia naogop akikataa tutavunjiana heshima na baadhi ya videm vyangu huwa anaviona vinkuja getho wakuu nifanyj